cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
hongera zako basi maana umeshatuambia kuwa wewe ni zaidi ya yero na kuwa mambo yako si madogo lkn hutaki kuyaweka hadharani hivyo umetupa kichwa cha habari tu lkn content unamalizia chumbani kwako,safi sana mkuu!Unafikiria mambo yangu madogo, ndio maana siweki hapa wazi wazi ili kunusuru hizo ndoa za wengine.