Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mhungaji Peter Msigwa(Chadema) picha ya kushoto akiteta jambo na mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe (CCM) kabla ya kuanza kwa kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa
Wajumbe mbalimbali kwenye kikao cha Mkoa Iringa.
Swali: Mkoa mpya wa Njombe bado ni mkoa mteule tu ambao haujaanza kuwa mkoa kamili unaojitegemea kwa sababu ya viongozi waandamizi kutoteuliwa?