Msife kihoro:Kidumu chama fulani!!!!!

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Nov 5, 2008
4,728
2,259
20101204072957_803d052mlid_1_.jpg

Wat wafe kihoro tu!
Huyu dada wa chama fulani anakutumia salamu, maisha si kukunjiana ndita!Take it easy chums!!!
 
Nyoka wa mdimu hao.

Hicho chama inabidi kukiogopa kama Ukoma kwa sasa hadi hapo kitakaposafishwa.

Ukiingia pekupeku kuchuma ndimu, mhhhhhhhhhh ataku-MEMBE.

RoughGreenSnake01.jpg
 
20101204072957_803d052mlid_1_.jpg

Wat wafe kihoro tu!
Huyu dada wa chama fulani anakutumia salamu, maisha si kukunjiana ndita!Take it easy chums!!!

Gwaki una utani weye! umemaliza kabisa hapa! LOL!

Nyoka wa mdimu hao.

Hicho chama inabidi kukiogopa kama Ukoma kwa sasa hadi hapo kitakaposafishwa.

Ukiingia pekupeku kuchuma ndimu, mhhhhhhhhhh ataku-MEMBE.

RoughGreenSnake01.jpg

Hakisafishiki mtu wangu! kila mmoja anamtumpia mpira mwenzake kama Adamu alivyosema ni Hawa kasababisha yeye akala tunda!
 
Gwaki una utani weye! umemaliza kabisa hapa! LOL!



Hakisafishiki mtu wangu! kila mmoja anamtumpia mpira mwenzake kama Adamu alivyosema ni Hawa kasababisha yeye akala tunda!

Mkuu Waberoya tukomae tu kwa kwenda mbele,ninaloliogopa ni hilo joka la mdimu,aliyelileta kwanza kakatika mkono,pili kaondolewa mjengoni kabsaa!!
Kidumu chama fulani!
 
Back
Top Bottom