Kichwa cha habari kimejitosheleza.
Si wote mnaodhani mwanamke atafutae rafiki/mpenzi/mume humu LV ni Prostitute!!!
Mtu anaku-PM vizuri,mnaongea na baada ya kuridhika na maelezo yake mnapanga siku ya kuonana.
Lakini siku ya kwanza tu kuonana anakwambia Muende Guesti House eti mkaongelee huko,
Nawe kwa kumtega unamwambia twende,
Bila aibu anapitia dukani kununua mpira!!
Shame!!!
Hv huoni aibu??
Ndivyo ulivyoaga kwenu hvo??
Nyambafff!!!
Na mwingine utamsikia "Ooho napenda sana kufanyia mazungumzo Guest kwani ni mahala tulivu na hakuna makelele wala honi za magari"
Khaaa!!!
Jamani ndivyo mlivyolelewa na wazazi wenu hvo???
Jamani, wanaume wachache humu mtawakosesha wenzenu wenye nia ya kweli ya kutafuta wenza wa maisha.
Angalieni sana, si kila mwanamke wa majaribio.
Kama mmezoea wanawake wa majaribio huko mitaani,basi hapa mmechemsha.
Sijalenga watu/mtu yeyote,
anaye/wanao jishuku huenda akawa/wakawa mhusika/wahusika.
Mimi yaliyonikuta si kwamba nilitangaza mimi, hapanaaa.... Kuna mkaka alitoa tangazo anahitaji mchumba/mke sasa ndio nikarespond kwenye hilo tangazo lake.. Mwisho wa siku ndio yakanikuta ya kunikuta..
Usipitwe,
ingia upate cha kusimulia.
we are thinking too small, hivi unapotafuta hapa mchumba huwa umeamua kukutana na wanaume/wanawake wangapi? coz jf ina member kibao na assume ukapata pm 100 hivi, ina maana utataman ukutane nao wote hafu mwisho wa siku unakuta umekosa wote.
Pole dada yangu , ndoo bongo hiyo tunafikiria kwa kutumia kichwa cha pili kilicho katika ya miguu. kwa kweli kwa siku ya kwanza walau mtu angezuga aonekane muungwana kidogo. Mtu anasema anatafuta mchumba sio anatafuta mtu wa Kudo. Usikate tamaa kuwakaribisha wengine, naamini mhusika atafika muda mwafakaRudia kusoma kwanza,
kisha uulize tena.
Yaani acha tu,
ni wapenda ngono tu.
Kwa kweli humu hakufai,si kwa kutafutia mwenza kwa kweli.
Inabidi wabadilike kwa kweli maana tunakoelekea doh!
Pole my dear hope you learnt someting kama hujui huku watu wamelizwa kibao we si unaona id mpya kila siku tena una bahati hata umekuta mwanaume kuna wanawake huku wametongoza wanawake wenzao huku ni funny tu mpenzi no one is serious labda matapeli
Pole dada yangu , ndoo bongo hiyo tunafikiria kwa kutumia kichwa cha pili kilicho katika ya miguu. kwa kweli kwa siku ya kwanza walau mtu angezuga aonekane muungwana kidogo. Mtu anasema anatafuta mchumba sio anatafuta mtu wa Kudo. Usikate tamaa kuwakaribisha wengine, naamini mhusika atafika muda mwafaka
Daah jamani nyie wakwale hebu acheni hizo mtatukosesha wake ambao ni ma great thinker bhana,
pole sana AmKATRINA ila ipo siku MUNGU atakupa wa ukweli.
Ila kuna men aliwahi tafuta mchumba huku pia akakutana na hayo hayo ikabidi akaoe kijijini kwao na hadi leo hana imani na wanawake wa mtandaoni na ameshatoa onyo kwa watoto na ndugu zake wasijaribu