Scofied
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,455
- 1,657
Si lazima kila mtu aelewe udhaifu wako.
"Ficha upumbavu wako".
ndivyo nilivyo sasa..sijaanza leo mkuu...nizoee tu wangu!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si lazima kila mtu aelewe udhaifu wako.
"Ficha upumbavu wako".
Watu walifikiri "kitonga" (mteremko),
You sound to be good wife if occupied!! Maana una msimamo.
But next time usiseme eti unamtega mtu kwa kwenda nae Guest house, akikubaka huko no one will believe hakua fiancée wako!!
Kila la kheri best
Yaani mtoa mada alichozungumza ni ukweli mtupu hata mimi yameshanikuta, nili respond kwa mkaka mmoja aliyekuwa anatafuta mchumba, akaniambia angependa tukutane guest house kwani ni mahali palipo tulia na akaongeza anatangulia yeye ataniambia yuko chumba namba ngapi ili nimfuate... Nilipatwa na bumbuazi na sikuamini kumbe ndio wanajidai wanatafuta wake kumbe wanatafuta wadada wa kufanya nao ngono. Mi sikutaka kujirisk kwenda huko guest house, hivyo nikakata mawasiliano nae mara moja maana nilikuwa nimeshamgundua nia yake nikaachana nae. Ila nilishangaa sana.
Asante mkuu,
wanaume wachache watawafanya wanaume wengine wenye u-serious wasifanikiwe.
AmKATRINA, consider hii ni challenge nzuri. umeikabili na umeshinda ... huoni ni sehemu ya maisha yako , kujitambua, kujielewa na kujisimamia? isn't this wonderful?
Yani nimecheka hadi machozi tilia maanani ushauri wa kaunga halafu wengi humu waume za watu ,matapeli na mengineyo kama alivyosema dada Kaunga bora kusubiri aliyetangaza
scofield vs katrina,nasikia harufu ya damu hapa,au ndo yale ya kurusha jiwe gizani anayepiga kelele?Sihitaji kuzoeana na mtu yeyote.
Eti "nataka kula vya watu kwa hyo nami niliwe"
Acha ujinga wewe,ndio nyie tunaowaelezea.
mwanaume kamili hawezi oa bila kuonja wew! Kama una ukakasi je ntajuaje? peleka tangazo lako kanisani...Kama unahtaji mwa kumuonja si ukamuonje dada yako?
Kwa wengine ufate ndoa?
mwanaume kamili hawezi oa bila kuonja wew! Kama una ukakasi je ntajuaje? peleka tangazo lako kanisani...
Mmmh! Vijana kumbe wanapenda vya dezo ee!