Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,138
- 16,203
@Never give up Kumbe Babu wa Lolilondo alikuwa anatibu pia na Ukimwi? Ohhh Kasheshe kweli sisi Wa Tanganyika eehhh bwana kazi kweli ipo.Nilifarijika sana niliposoma hili wazo
View attachment 54015
Safari ya kwa babu ikaanza ingawa ilikuwa ya tabu sana
View attachment 54017
Ooohh!!! Hili bango ndio likanikatisha tamaa kabisa hata kikombe sikuhudhulia
View attachment 54018
@Never give up Kumbe Babu wa Lolilondo alikuwa anatibu pia na Ukimwi? Ohhh Kasheshe kweli sisi Wa Tanganyika eehhh bwana kazi kweli ipo.
@Never give up Kwa imani ya Mzee wa Lolilondo? Na Waliokufa je? Wamekufa kwa imani?yah, watu wamepona (kwa imani)
Kweli huo Uginjwa ni hatari.
Kweli huo Uginjwa ni hatari.
Nadhani ugonjwa uliokomaa/Sugu unaitwa uginjwaKweli huo Uginjwa ni hatari.
@Never give up Kwa imani ya Mzee wa Lolilondo? Na Waliokufa je? Wamekufa kwa imani?
Never give up.Mimi nilienda kwa mchungaji T B Joshua.