Msichana

Spellan

JF-Expert Member
Jun 15, 2011
307
14
Nina miaka 27, ni mwembamba kiasi, maji ya kunde, ni mkristo (RC), nimehitimu chuo. Natafuta mdada ambaye atakuwa mke wangu baadaye, umri 20-25. Mrejesho hapa hapa.
 
fanya maisha kijana......huna hata mda mrefu unaanza kutafuta...baadae mnaanza kuja kulia na kuhangaika.....nakushauri beba box kwanza haya ammbo yapo.............
 
Wanakuja punde! Usitoke nduki chp mkononi. Usisahau kuhamisha hivyo vijihela kutoka wallet hadi mfuko wa shati.
ADIOS
 
ka picha yako ndo hyo...............huh,jitahidi mpangilio wa mavazi mana dizaini ka umevaa kachumbari hvi
 
Yani ..dogo kila siku unakutana nao toka ulivozaliwa mamako anakupeleka klinic ya watoto,ukaenda shule, ukapata kazi (kama unayo) hadi sasa huna wadhani utapata humu mtandaoni??? Au kuna hitilafu fulani unayo unajaribu kutuambia?
 
Yani ..dogo kila siku unakutana nao toka ulivozaliwa mamako anakupeleka klinic ya watoto,ukaenda shule, ukapata kazi (kama unayo) hadi sasa huna wadhani utapata humu mtandaoni??? Au kuna hitilafu fulani unayo unajaribu kutuambia?

So, what? what is ya problema? stop dat man.
 
kaazi kwelikweli mke mwema anatoka kwa Mungu na siyo kwenye mtandao utalia weye..........!!!!!!11
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom