Msichana wa miaka 13 afanyishwa ukahaba

Tatizo serikali kwani iko wapi? Serikali inazifumbia macho hizi danguro ikidhani kwamba zinafanya biashara halali. We unafikiri wataweka mibibi kwenye hizi danguro?,lazima waweke vibinti vidogovidogo kuwavutia wanaume. Serikali ifungue macho na nyie wamiliki wa hizi danguro acheni ujinga muogopeni mungu.

kama ndo hivyo ianze na ccm minazini m/nyamala wanaopangisha wauza nyuchi zao pale hospitali ndio wamalize na watu binafsi..
 
Hizi fix yaan usiku wanatembezwa na mabaunsa ? Jaribu kuwa muwaz kama kweli chana wazi hayo majumba ya starehe hapa Mbeya.
 
kwani wa manzese tip top hamuwaoni , nao wamefungwa? Umalaya wa TZ ni janga la kitaifa.

Sio tiptop tu hata pale kimboka buguruni,sokota pale sugar rey bar wapo kibao watoto wa miaka 12.hili ni janga la taifa,na serikali iko kimya tu.
 
[/COLOR]
Msichana wa miaka 13 afanyishwa ukahaba
6180206.jpg

Picha ya mmoja wa anaosadikiwa ni changudoa akiwa mawindoni
Sunday, January 08, 2012 11:52 PM
Habari kutoka Majengo Tanesco, mjini Sumbawanga zimeripoti kuwa msichana ambaye ni mwanafunzi wa darasa la saba alietumikishwa ngono ya lazima kwa miezi saba akitafutiwa wanaume na mwenye danguro kwa malipo ya kupewa wa mlo.
Binti huyo, jina napicha kapuni, ametoboa siri ya kutisha kuhusu biashara ya ngono inayoendelea bongo. Binti huyo amedai kuwa alirubuniwa kuondoka nyumbani kwao kisha kujikuta akitumikishwa kwenye biashara ya ngon jijini Mbeya.
Binti huyo alisema kwamba hakuwa peke yake, bali zaidi ya wasichana wadogo 30 ambao waliofungiwa nyumbani kwa tajiri wakilindwa na walinzi wenye silaha usiku na mchana, lakini usiku husambazwa kwenye majumba ya starehe kwa ajili ya kuuza miili yao, chini ya ulinzi wa mabaunsa.
Tumethubutu,Tumeweza na Tunasonga Mbele ndani ya miaka 50,
CC-Magamba hoyeoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo,Hizo ndizo sera za CC-Magamba unajua wengi wao wanamiliki hizo biashara lakini hamujuagi tu,hata viongozi waandamizi walishafanyaga hizo vitu,tunawahifadhi tu one day tutaweka wazi hadharani we ngoja tu,tukarikbie 2015 watatukoma..
 
Back
Top Bottom