Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Msichana wa miaka 13 afanyishwa ukahaba | |
Picha ya mmoja wa anaosadikiwa ni changudoa akiwa mawindoni | Sunday, January 08, 2012 11:52 PM Habari kutoka Majengo Tanesco, mjini Sumbawanga zimeripoti kuwa msichana ambaye ni mwanafunzi wa darasa la saba alietumikishwa ngono ya lazima kwa miezi saba akitafutiwa wanaume na mwenye danguro kwa malipo ya kupewa wa mlo. |
Binti huyo, jina napicha kapuni, ametoboa siri ya kutisha kuhusu biashara ya ngono inayoendelea bongo. Binti huyo amedai kuwa alirubuniwa kuondoka nyumbani kwao kisha kujikuta akitumikishwa kwenye biashara ya ngon jijini Mbeya. Binti huyo alisema kwamba hakuwa peke yake, bali zaidi ya wasichana wadogo 30 ambao waliofungiwa nyumbani kwa tajiri wakilindwa na walinzi wenye silaha usiku na mchana, lakini usiku husambazwa kwenye majumba ya starehe kwa ajili ya kuuza miili yao, chini ya ulinzi wa mabaunsa. |