wadau;
kama huyo msichana wa kazi akipatikana hasa maeneo ya kanda ya ziwa kama geita, biharamulo, mwanza, shinyanga, tabora na mara atasafirishwa mpaka mwanza kwa gharama za boss wake ili mradi awe na tabia njema. Naomba pm kwa yule atakayepatikana.
Rdi.
hii biashara kwa nini isikomeshwe????vigezo vya kazi ni vipi?kama si unyanyasaji mwingine?darasa la 7?wafundishe watoto wako kufua na kupika,na kufanya usafi huku wanasoma!!vinginevyo ndo mtuletea mafisad ya baadae!!!