Picha ya zamani hiyoKama wewe vile hapo kwenye avatar yako.
karibu afrodenz
wewe huna shosti mbaya kwa sura na shepu?
Anaekubania?
Hiyo hali ya kupenda mizigo ni sababu wa kwanza alikuwa hivyo au unajiendekeza tukabisaaa
basi mwenzio akitokewa we
kaza mwendo....
hahahahah lol
mie nina best wangu mmoja
tunavaa size sawa kiatu na nguo,
test zetu za fashion hazina tofauti..
tukienda out mmmmhhhhh ndivyo ilivyo..
Na Mungu katujali hatuna tofauti kubwa
sana kati ya miili yetu.. niko naye tangu high school..
kwa mimi kama kweli ni rafiki wa kweli..
hatafanya ulicho sema hapo juu..
lakini saa nyingine ni vizuri kuwa na mtu
ambaye ni at list yuko kwenye level fulani ya
makubaliano na wewe .. makubaliano ya ndani na nje..
mmmhh
Tatizo unaweza kusema unajaribu halafu unakwama, unakuta mkarimu sana, ajituma kitandani,anamthamini mama, baba na ndugu zako, unabaki uantoa mimacho tu kujinasua huwezi. kila ukijaribu unaemwona ni mzuri sana unakuta hana yale uliyoyakuta kule zaidi ya sura na shepu yake tu.unarudi mbio kwa sura dr remmy wakosawa kabisa mkuu,nishakutana na dizaini hii sana,dawa unaanza na mbaya unamtembelea kisha unapiga chini unabeba mzuri kimoja
Tatizo unaweza kusema unajaribu halafu unakwama, unakuta mkarimu sana, ajituma kitandani,anamthamini mama, baba na ndugu zako, unabaki uantoa mimacho tu kujinasua huwezi. kila ukijaribu unaemwona ni mzuri sana unakuta hana yale uliyoyakuta kule zaidi ya sura na shepu yake tu.unarudi mbio kwa sura dr remmy wako
Tatizo unaweza kusema unajaribu halafu unakwama, unakuta mkarimu sana, ajituma kitandani,anamthamini mama, baba na ndugu zako, unabaki uantoa mimacho tu kujinasua huwezi. kila ukijaribu unaemwona ni mzuri sana unakuta hana yale uliyoyakuta kule zaidi ya sura na shepu yake tu.unarudi mbio kwa sura dr remmy wako
ikitokea kuna mtu anakutokea
na yeye akaanza kuharibu like
fanya haraka twende,au kuwa kimbelembele kuzungumza
na huyo mtu..
unafanya nini?
hahah lol
haijawahi tokea na sizani itakuja tokea
my dear sisitunaelewana sana na tuko kwenye
ule umri mtu akipata mtu ni ni sawa tu..
ntamwambia amlete kwangu wine, dinner invite few more friends, have fun
mambo ya tenager tumeshaa yaacha
Kipindi hicho mpaka na ****** tunapeana
kweli wivu hatuna .. na wote ni watu ambao
tuko kwenye stage fulani ya maisha unaridhika na ulicho nacho...
Afro Hujambo mama?hahah lol
haijawahi tokea na sizani itakuja tokea
my dear sisitunaelewana sana na tuko kwenye
ule umri mtu akipata mtu ni ni sawa tu..
ntamwambia amlete kwangu wine, dinner invite few more friends, have fun
mambo ya tenager tumeshaa yaacha
Kipindi hicho mpaka na ****** tunapeana
kweli wivu hatuna .. na wote ni watu ambao
tuko kwenye stage fulani ya maisha unaridhika na ulicho nacho...