Candy kisses
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 296
- 210
Hiyo kazi mloenda interview mlipata?au we umepata?asa ukimkubali mtaishije wkat wote jobless
pole sana duh! Kuwa na maamuzi ulikuwa huna mpango baada ya yeye kukwambia hivyo imekuchanganya inaonye jinsi usivyo na msimamo! Haya nahao wasichana wengine utawapeleka wapi? Acha uzinzi si sifa njema. "AZINIYE NA MWANAMKE HANA AKILI KABISA AFANYA JAMBO LA KUIANGAMIZA NAFSI YAKE" Maana yake kila anayezini ni mpumbavu!!
Hiyo kazi mloenda interview mlipata?au we umepata?asa ukimkubali mtaishije wkat wote jobless
Habari wakuu ndani ya jamvi.
Nimekutanae mara ya kwanza ktk inteview moja mjini DSM, Tukabadilishana namba za simu kwa lengo tupeane updates kuhusu hiyo interview. Ni miezi kama mitatu hivi imepita. Mawasiliano hayakuwa kivile ila wiki hili amekuja juu sana kimawasiliano. Anasema ameshawahi kutendwa na Ex wake na pia keshaoa.
Amekaa miaka kaa mitatu hivi bila kuwa na mahusiano yoyote na mtu.
Ananambia eti anoana kuwa naweza kuwa mme wake kama nipo tayari.
Swali kwa miezi mitatu kweli inatosha kwake au ni mapema kwake kufunguka. Je inakuwaje nisipomkubali, Mi sijaoa mabinti wapo ila niponipo kwanza USHAURI WAKUU>
Habari wakuu ndani ya jamvi.
Nimekutanae mara ya kwanza ktk inteview moja mjini DSM, Tukabadilishana namba za simu kwa lengo tupeane updates kuhusu hiyo interview. Ni miezi kama mitatu hivi imepita. Mawasiliano hayakuwa kivile ila wiki hili amekuja juu sana kimawasiliano. Anasema ameshawahi kutendwa na Ex wake na pia keshaoa.
Amekaa miaka kaa mitatu hivi bila kuwa na mahusiano yoyote na mtu.
Ananambia eti anoana kuwa naweza kuwa mme wake kama nipo tayari.
Swali kwa miezi mitatu kweli inatosha kwake au ni mapema kwake kufunguka. Je inakuwaje nisipomkubali, Mi sijaoa mabinti wapo ila niponipo kwanza USHAURI WAKUU>
pole sana duh! Kuwa na maamuzi ulikuwa huna mpango baada ya yeye kukwambia hivyo imekuchanganya inaonye jinsi usivyo na msimamo! Haya nahao wasichana wengine utawapeleka wapi? Acha uzinzi si sifa njema. "AZINIYE NA MWANAMKE HANA AKILI KABISA AFANYA JAMBO LA KUIANGAMIZA NAFSI YAKE" Maana yake kila anayezini ni mpumbavu!!