Msichana kafunguka nifanyeje.

pole sana duh! Kuwa na maamuzi ulikuwa huna mpango baada ya yeye kukwambia hivyo imekuchanganya inaonye jinsi usivyo na msimamo! Haya nahao wasichana wengine utawapeleka wapi? Acha uzinzi si sifa njema. "AZINIYE NA MWANAMKE HANA AKILI KABISA AFANYA JAMBO LA KUIANGAMIZA NAFSI YAKE" Maana yake kila anayezini ni mpumbavu!!

Ndugu,hivi huo mstari upo sura gani vile?nimesahau...
 
achana nae
mara nyingi watu hutafuta ushauri kama hawa penda
wakipenda hawatafuti ushauri
 
Sidhani kama anamaanisha umuoe right away...anamaanisha muwe marafiki (bf/gf/fu*k mates) then hesabu zikikubali ndio mengine yfuate....nadhani ni weird msichana akwambie anakutaka kwa ajili ya kuwa f* mate...japo hilo laweza kuwa lengo...kutunza heshima yake anaingia kwa gia kubwa ya kuwowana.........upo////
 
Huyo binti yupo sahihi kuelezea hisia zake ila swala la ndoa ni kitu kingine na ukikosea kuowa mwanamke mwema basi na maisha utakuwa umeyakosea. Ndoa sio kitu rahisi kama watu wazaniavyo. Ila kama wewe unatabia za Aljandro basi kula mzigo
 
Habari wakuu ndani ya jamvi.
Nimekutanae mara ya kwanza ktk inteview moja mjini DSM, Tukabadilishana namba za simu kwa lengo tupeane updates kuhusu hiyo interview. Ni miezi kama mitatu hivi imepita. Mawasiliano hayakuwa kivile ila wiki hili amekuja juu sana kimawasiliano. Anasema ameshawahi kutendwa na Ex wake na pia keshaoa.

Amekaa miaka kaa mitatu hivi bila kuwa na mahusiano yoyote na mtu.
Ananambia eti anoana kuwa naweza kuwa mme wake kama nipo tayari.

Swali kwa miezi mitatu kweli inatosha kwake au ni mapema kwake kufunguka. Je inakuwaje nisipomkubali, Mi sijaoa mabinti wapo ila niponipo kwanza USHAURI WAKUU>

Malaya Huyo hajatendwa anakulia timing tu umgonge piga sepa zako
 
Habari wakuu ndani ya jamvi.
Nimekutanae mara ya kwanza ktk inteview moja mjini DSM, Tukabadilishana namba za simu kwa lengo tupeane updates kuhusu hiyo interview. Ni miezi kama mitatu hivi imepita. Mawasiliano hayakuwa kivile ila wiki hili amekuja juu sana kimawasiliano. Anasema ameshawahi kutendwa na Ex wake na pia keshaoa.

Amekaa miaka kaa mitatu hivi bila kuwa na mahusiano yoyote na mtu.
Ananambia eti anoana kuwa naweza kuwa mme wake kama nipo tayari.

Swali kwa miezi mitatu kweli inatosha kwake au ni mapema kwake kufunguka. Je inakuwaje nisipomkubali, Mi sijaoa mabinti wapo ila niponipo kwanza USHAURI WAKUU>

Hapo kwa red naona kama umechanganya changanya hii topic yake, so nimeshindwa kuelewa unamaanisha mke au mume?
 
Si umesema upo upo?Hata kama ukiambiwa anafaa haitakusaidia kitu!
 
usije kuwa unahitajika kutibu(kupoza) stress zake za mzeya aliyetosa zigo...mwisho wa siku akajisepea... Mimi huwa chanxea kama hizi zikitokea huwa nachangamkia ila huwa naingiza kichwa tu moyo nabaki nao...akizingua poa....
 
Sijaelewa.... anataka muoane sasa hivi?? If yes, ni mapema sana kusema hivyo kwa mahusiano yenu ambayo yamedumu kwa miezi mitatu unless kama amekuwa very desperate ktk mahusiano yaliyopita na kuhitaji kuoana kwa haraka. Kama hauko tayari kwa sasa ni vizuri uwe wazi kwake, ndoa sio kitu cha kujaribu! Ni muhimu kuwa na maamuzi ya kweli.
 
pole sana duh! Kuwa na maamuzi ulikuwa huna mpango baada ya yeye kukwambia hivyo imekuchanganya inaonye jinsi usivyo na msimamo! Haya nahao wasichana wengine utawapeleka wapi? Acha uzinzi si sifa njema. "AZINIYE NA MWANAMKE HANA AKILI KABISA AFANYA JAMBO LA KUIANGAMIZA NAFSI YAKE" Maana yake kila anayezini ni mpumbavu!!

mmh kwaiyo weye huja wahi kuzini sisi tunao zini ni wa pumbavu duh.
 
Kama bado hujajipanga nibora ukamwambia ukweli ili ajipange na sidhani kama niwakati sahihi wa wewe kuoa wakati hujajipanga....
 
Back
Top Bottom