- Thread starter
- #21
Ni nani kakuambia atakuoa? Bado hata hujampenda umeshafikiria kuolewa naye? Subiri kwanza umpende. Hayo mambo yakuolewa weka kando. UTALIZWA!!!!!!
its not kwamba kanambia anataka kunioa lakini ndivo navoona na mimi pia sitaki kurush kwenye marriage navomuona hana tatizo natamani nimpende but i think my mind inasay yes but immotionally no i mean my feelings ndomaana nimeuliza is it possible mtu kulearn to love? maana nasikia watu wakisema boys hawalearn but gals do,