BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,001
Mimi ni Mwalimu wa kiume katika shule fulani,Mtoto wa kike kaja ofisini na kunisihi...:Sir Sorry me ni binadamu,,,,nakupenda mwalimu,....Naomba nikimaliza unioe,....::nikamjibu soma usiwaze hayo.....Akaja akanambia kama hunisikilizi nakunywa sumu....:nfj