Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Mi nadhani wanawake wanapenda sana kuruka ukuta ndio maana wanaruhusu hako kamkanda ka chupi kawakune panapo tundu. si vingine
those are white chicks.. I guess its very normal for them to dress up like that... actually u have seen nothing...sI dont think wasichana waki TZ wanavaa hivyo (I'm just assuming since I am not living in TZ)
Inategemea yupo mazingira gani, kwa mfano ukienda night clubs wanavaa vibaya kuliko hata hiyo mnayoona na huko wanakubalika. Ila katika mazingira ya kawaida ya mtaani ni aibu
aha kwahiyo nawatu wamekuwa kama wazungu?... mila na desturi ziko hatarini... there is nothing wrong in adapting modern life style but we shouldnt lose our identity because thats what make us unique... Myself am trying to adapt a modern life style but I am keeping within my values...Continue assuming; Bongo ya sasa kama ulaya tu.
Samahani NOname, nafananisha na kuna mtu aliwahi kuulizia kama bongo kuna supermarket, alidhani bado tunategemea tandale, kwa manyanya and the siblings.
sasa the boss umepatwa nini my buddy? Dont u have anything to say at all?mhhhhhhhhhhhhhhhhhhh...
Biashara bila matangazo ni sawa na bendi bila wanamziki!