Taifa_Kwanza
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 443
- 86
Chama cha Democrasia na Maendeleo kilitumia maelezo haya wakati wa kujinadi kwenye uchaguzi
mkuu wa 2010.Je, kilikuwa kina maanisha nini?
1. Kwamba watanzania wanakitaka ccm ila hawawaki wagombea wake, hivyo wakipambanishwa
wagombea basi ccm wangeshindwa?
2. Kwamba Watanzania hawakipendi chadema ila wanawataka wagombea kutoka chama hicho?
mkuu wa 2010.Je, kilikuwa kina maanisha nini?
1. Kwamba watanzania wanakitaka ccm ila hawawaki wagombea wake, hivyo wakipambanishwa
wagombea basi ccm wangeshindwa?
2. Kwamba Watanzania hawakipendi chadema ila wanawataka wagombea kutoka chama hicho?