Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td align="left"><table bgcolor="#dddddd" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" height="23" width="100%"><tbody><tr><td width="606">
</td> <td align="right" width="139">photos</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
</td> </tr> <tr> <td class="shortnews" align="left" bgcolor="#ffffff" valign="top">
</td></tr></tbody></table>
</td> <td align="right" width="139">photos</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
Mke wa Balozi Andrew Mhando Daraja, Bi. Ana daraja, ambaye alifariki Machi 6 mwaka huu kwa kuchomwa kisu na mtu anayedaiwa kuwa Shamba Boy wao, leo amaegwa kwa ibada maalum iliyofanyika nyumbani kwa balozi, Kimara Temboni jijini Dar na kuhudhuriwa na Rais Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali. Marehemu amesafirishwa jioni hii kuelekea Tongwe, Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga, ambako anatarajiwa kuzikwa kesho. Mtandao wako ulikuwepo kushuhudia na hizi ndizo taswira zake:
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Rais Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akimfariji Balozi Mstaafu, Andrew Daraja kwenye msiba huo.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mwenyekiti wa makampuni ya IPP, Bw. Reginald Mengi, (kulia) akimpa pole balozi Daraja.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Nchi za Afrika (AU) na Waziri Mkuu mstaafu, Mh. Salim Ahmed Salim, akisalimiana na Bw. Reginald Mengi (kulia), nyumbani kwa balozi mstaafu huko Kimara Temboni.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Balozi mpya wa Tanzania nchini Zimbabwe, Patric Tsere akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Balozi huko Kimara Temboni leo mchana.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mama Salma Kikwete akiondoka na mumewe baada ya kutoa pole kwa wafiwa.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Rais Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akimfariji Balozi Mstaafu, Andrew Daraja kwenye msiba huo.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mwenyekiti wa makampuni ya IPP, Bw. Reginald Mengi, (kulia) akimpa pole balozi Daraja.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Nchi za Afrika (AU) na Waziri Mkuu mstaafu, Mh. Salim Ahmed Salim, akisalimiana na Bw. Reginald Mengi (kulia), nyumbani kwa balozi mstaafu huko Kimara Temboni.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Balozi mpya wa Tanzania nchini Zimbabwe, Patric Tsere akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Balozi huko Kimara Temboni leo mchana.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mama Salma Kikwete akiondoka na mumewe baada ya kutoa pole kwa wafiwa.
</td></tr></tbody></table>