Somoche
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 6,134
- 6,965
Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Mara bwana Bartholomeo Machage Amefiwa na dada yake aliyekua amelazwa Kwenye Hospitali ya Aghakhan....msiba uko Mwananyamala na mwili utasafirishwa kwenda Tarime kwa mazishi siku ya ijumaa...bwana ameto na ametwaa jina lake lihimidiwe sana...