Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,489
- 40,995
Dhamira inamsuta. Walipoua kule Arusha, alisema kuwa mauaji yale yangekuwa ya mwisho, lakini yameshindwa kuwa ya mwisho kwa sababu maagizo wanayowapa polisi ya kuhakikisha mikutano ya CHADEMA haifanikiwi, ndiyo yanayosababisha vifo. Alaumiwe nani, polisi wanaotekeleza agizo la CCM au waliowapa maagizo?
Duu hata mimi hili la ukimya wa Mkuu wa kaya limenishangaza sana sijui ni uoga au nini , najua anapenda kujiweka mbali na ishu tata atakuja kuongea baadaye.