Mbona unataka kupoteza watu!? Anyway kwa niaba ya familia napokea pole yako!Poleni sana. tuliobaki tusisahau kuwa, wakati wowote mtu aweza kufa, hivyo tujiandae kila siku. hakuna njia nyingine ya kupata uzima wa milele ila kwa njia ya Yesu Kristo tu, njia zingine kama za kina....... ni za upotevuni/jehanum ya milele. heri wale waliojiandaa ili siku watakapokufa, wafe ktk Bwana. Mungu hafurahii kifo cha mwenye dhambi, lakini yeyote yule aliyemkataa Yesu, hukumu ya milele inamsubiri. mwenye ufahamu na aelewe ninachosema, na ampokee Bwana Yesu kama bado hajafanya hivyo, pengine kesho ndo siku yako. Poleni Bwana ex-paster , pamoja na kwamba ktk thread nyingi tunapigizana mabifu kwasababu ya imani, kwa hili ninasikitika pamoja nawe/and wanajf wote pia. ni msiba wetu sote wanajf..
Inna Lillahi wa Inna ilayhi Raj'oon
Verily to Allah we belong & to him we shall return
Taarifa ya Msiba wa MwanaJF
Kwa niaba ya Familia ya Ndugu yetu na mwanachama mwenzetu Aliyekuwa akijulikana kwa jina la Mpenzi wa Islam, wanasikitika kutangaza kifo cha ndugu yetu Mpenzi wa Islam Kilichotokea tarehe 19th - March - 2010.
Marehemu aliuguwa ghafla moyo na akafariki na kuzikwa siku hiyo hiyo, mjini Dar es salaam. Taarifa hizi nimeletewa na Binti yake na Marehemu.
Marehemu alikuwa si Swahibu yangu tu, ila alikuwa ni ndugu yangu na mshauri wangu wa karibu sana. Huu ni msiba mkubwa kwa kweli.
_____________
"Surely Allah takes what is His, and what He gives is His, and to all things He has appointed a time...so have patience and be rewarded." [Bukhari] -
Dhikr & Patience are the most befitting Remedy