Gwankaja Gwakilingo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 1,996
- 615
Mwanajamvi mwenzetu Amefiwa na mama yake mzazi jioni ya leo huko Tabora tumuombee ndugu yetu Mungu amfanyie wepesi katika tukio hili zito
nawasilisha
nawasilisha
anaitwa nani hapa jf?
anatumia Maulid Manyala
mpe pole saana