Msiba wa kusikitisha

Aine

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
1,603
488
Kwa kweli hata nashindwa jinsi ya kuanza inavyotia simanzi!!
Kwa wale waliosoma Chuo cha Mzumbe miaka ya 2004, 2005, 2006, na miaka mingine na wote wenye mapenzi mema, kuna dada anaitwa MANSUETA MBENA alisoma LLB na kumaliza 2006, jana alinipigia simu amefiwa na mtoto wa dada yake, mkubwa tu amezalliwa 70's anaitwa Jenny kwamba amefariki juzi alikuwa anaumwa malaria. Sasa Mansu anafanya kazi mkoani, alipofika kwao tu akanipigia tena kwamba dada yake naye amefariki!!!!!! Yaani hadi mwili unataka kuganda, kwao ni Morogoro. Kwa hiyo kwao kuna misiba miwili na mazishi kwa marehemu wote ni kesho Jumamosi tarehe 14/5/2011 saa 9 alasiri .Wanakaa karibu na makaburi ya Kola na ukienda panda gari za Kilakala shuka kituo cha makaburi ya Kola kulia utaona watu wengi tu kwenye msiba. Jamani wale tulio karibu naomba tuende tukawafariji jamani maana misiba miwili si mchezo! Kweli Mungu AWAPE FARAJA YA PEKEE!!
 
Aine mie ndo naona leo huu msiba siku nyingine tangazo kama hili weka kule unapotembelea sana wewe kama ni siasa au international nk watu wengi wataona hapa ni wachache sana hupita nikiwemo mie nina miezi mitatu sijapita hapa.

BTW poleni sana
 
Kwa kweli hata nashindwa jinsi ya kuanza inavyotia simanzi!!
Kwa wale waliosoma Chuo cha Mzumbe miaka ya 2004, 2005, 2006, na miaka mingine na wote wenye mapenzi mema, kuna dada anaitwa MANSUETA MBENA alisoma LLB na kumaliza 2006, jana alinipigia simu amefiwa na mtoto wa dada yake, mkubwa tu amezalliwa 70's anaitwa Jenny kwamba amefariki juzi alikuwa anaumwa malaria. Sasa Mansu anafanya kazi mkoani, alipofika kwao tu akanipigia tena kwamba dada yake naye amefariki!!!!!! Yaani hadi mwili unataka kuganda, kwao ni Morogoro. Kwa hiyo kwao kuna misiba miwili na mazishi kwa marehemu wote ni kesho Jumamosi tarehe 14/5/2011 saa 9 alasiri .Wanakaa karibu na makaburi ya Kola na ukienda panda gari za Kilakala shuka kituo cha makaburi ya Kola kulia utaona watu wengi tu kwenye msiba. Jamani wale tulio karibu naomba tuende tukawafariji jamani maana misiba miwili si mchezo! Kweli Mungu AWAPE FARAJA YA PEKEE!!


Mwenyezi Mungu awape imani na nguvu wafiwa... May the deceased R. I. P.
 
Na ahimidiwe Mungu aliyetupa uhai na mtwaa uhai...Mungu awape faraja wafiwa na kuwapa marehemu pumziko la heri!
 
Niliiandika tena kwenye jukwaa la hoja mchanganyiko na kuomba radhi kuwa nilipitiwa kuweka huku, ahsante kwa ushauri wako
Aine mie ndo naona leo huu msiba siku nyingine tangazo kama hili weka kule unapotembelea sana wewe kama ni siasa au international nk watu wengi wataona hapa ni wachache sana hupita nikiwemo mie nina miezi mitatu sijapita hapa.

BTW poleni sana
 
Ooh!yaani hata mie nimeshtuka,hakika ni msiba mkubwa sana.MUNGU awape roho ya uvumilivu hao ndugu zetu.tuzidi kuwaombea faraja.
 
Back
Top Bottom