Pole sana..Nimefiwa na Mama Yangu Mzazi Hospitali ya Selian Mjini Arusha.
Alikuwa na tatizo ya maji kwenye mapafu. Nashauri tuwe tunapima afya zetu kwani tatizo kama hili likijulikana mapema linatibika. Kama bado una wazazi wanakutegemea wasaidie kuwacheki afya zao kwani unaweza sogeza umri wao mbele
Sisi lilijulikana late so it was too late.
Asanteni sana.
Nyinyi ilijulikana late au nyinyi mlicheki late? Follow ur own advice. Anyhow, hutakiwi kuwa JF kwenye jukwaa la mapenzi na urafiki saa hizi mtu umefiwa na mama yako....Nashauri tuwe tunapima afya zetu ... kuwacheki afya zao kwani unaweza sogeza umri wao mbele
Sisi lilijulikana late so it was too late.
kNimefiwa na Mama Yangu Mzazi Hospitali ya Selian Mjini Arusha.
Alikuwa na tatizo ya maji kwenye mapafu. Nashauri tuwe tunapima afya zetu kwani tatizo kama hili likijulikana mapema linatibika. Kama bado una wazazi wanakutegemea wasaidie kuwacheki afya zao kwani unaweza sogeza umri wao mbele
Sisi lilijulikana late so it was too late.
Asanteni sana.