Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Hivi Calabash ziko ngapi?
Najua mbili, moja iko Masaki na nyingine Mwenge, zamani ilikuwa Silent Inn
Hivi Calabash ziko ngapi?
Najua mbili, moja iko Masaki na nyingine Mwenge, zamani ilikuwa Silent Inn
Oh yeah....Diana anafanya kazi ile ya pale Mwenge. Nimeharibu sana pale....teh teh teh
Oh yeah....Diana anafanya kazi ile ya pale Mwenge. Nimeharibu sana pale....teh teh teh
Kama umeharibu Diana, Wahi Loliondo tu.....!
Kwani NYANI NGABU hamjui MWAJEY??? Maana nadhani shift moja wale na DIANA
Oh yeah....Diana anafanya kazi ile ya pale Mwenge. Nimeharibu sana pale....teh teh teh
Teh teh teh heeeee hapo kwenye nyekundu loo paminivunja mbavuPreta, images zako za chupi na sehemu nyeti ni distraction misibani.
Anyhow, naona dawa za Liliondo zimefeli, wafiwa poleni.