Msiba mkubwa: Adam Lusekelo Mwakang'ata

Nilipenda sana makala zake. Mara ya mwisho kumuona ilikuwa mwaka 2005 kwenye restaurant ya Continental Hotel Mbeya mjini. R.I.P my brother!.
 
isije ikawa ndo siku ya wajinga.angalia sana kama uongo tunakuban.
R.I.P my Brother ADAM
sidhani kama uwongo.....
kuna mtu alikutana nae majuzi alikuwa sooo weak hata kujaza form za benki alikuwa hawezi jaza anaandikiwa....he was sooo sooo ill...baadhi walisema alikuwa na NGOMA......ila ana shori mkali kweli kweli anasukuma bonge la ndinga town hapa......
 
Taarifa za kusikitisha zilizonifikia muda mfupi uliopita zinasema mwandishi wa habari maarufu ADAM LUSEKELO amefariki dunia leo alfajiri kwenye Hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam. Taratibu za mazishi zinafanywa nyumbani kwake jirani na lililokuwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Ubungo. <br />
Mmoja wa waombolezaji aliyepo msibani, ambaye ni jirani yake, amethibitisha taarifa hizi. Wakati wa uhai wake Lusekelo alifahamika zaidi kwa aina yake ya uandishi wa 'satire' kwenye gazeti la SUNDAY NEWS akiwa na safu maarufu ya 'With A Light Touch' na miaka ya hivi karibuni alikuwa akiandika safu nyingine iliyoitwa &quot;EYE SPY&quot; kwenye gazeti la THISDAY. <br />
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
<br />
<br />
 
Taarifa za kusikitisha zilizonifikia muda mfupi uliopita zinasema mwandishi wa habari maarufu ADAM LUSEKELO amefariki dunia leo alfajiri kwenye Hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam. Taratibu za mazishi zinafanywa nyumbani kwake jirani na lililokuwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Ubungo. <br />
Mmoja wa waombolezaji aliyepo msibani, ambaye ni jirani yake, amethibitisha taarifa hizi. Wakati wa uhai wake Lusekelo alifahamika zaidi kwa aina yake ya uandishi wa 'satire' kwenye gazeti la SUNDAY NEWS akiwa na safu maarufu ya 'With A Light Touch' na miaka ya hivi karibuni alikuwa akiandika safu nyingine iliyoitwa &quot;EYE SPY&quot; kwenye gazeti la THISDAY. <br />
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
<br />
<br />


RIP, Adam. The Coffee joint at Mlimani City will miss your prescence
 
wakati natafuta kazi nilikuwa sikosi sunday news na adam ni mojawapo wa waandishi waliolipamba gazeti holo.

RIP adam

dunia tunapita

mbingi ni mbingu za Bwana
na nchi amewapa wanadamu!
RIP adam Lusekelo
 
Tulikupenda sana lakini Mwenyezi Mungu amekupenda zaidi! Mwenyezi Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya Adam Lusekelo! Amen.
 
am so sceptic about this news, ktk kusikiliza kwangu kote vyombo vya habari sikupata sikia habari kama hii, ukizingatia alikuwa mwandishi mahiri wa habari, kifo chake kisinge acha kutangazwa.
 
Mwenyezi Mungu amlaze Mahali Pema Peponi Adam......Maandiko yake bado yana thamani kubwa katika Jamii yetu!
Nenda kapumzike kwa Amani Comrade!
 
am so sceptic about this news, ktk kusikiliza kwangu kote vyombo vya habari sikupata sikia habari kama hii, ukizingatia alikuwa mwandishi mahiri wa habari, kifo chake kisinge acha kutangazwa.
Sadly enough. This story is credible. I worked with the late Adam Lusekelo at Daily/Sunday News in the early 80's and I have got it confirmed from reliable sources. Sometimes, life seems to have no logic. May his soul rest in eternal peace!

NB: Even Chemi Che Mponda has posted the news on her blog where she is insisting that this is not another April 1st joke.
 
Mkewe alikuwa mwalimu Forodhani sec. Mwl Mwakang'ata (mjukuu wa mmoja wa machief wa kihehe). Ila niliwahi sikia long a go kama wameseparate, inawezekana walishasolve their differences.

RIP Mwakang'ata

Hapo pekundu, unajuaje kama mkewe bado yupo hai.

Vipi amefariki na ugonjwa gani?..kiswahili kigumu sana, na maanisha nini sababu ya kifo chake? na je kuna lolote la kujifunza kutokana na sababu ya kifo chake.

RIP Adam
 
R.I.P AL Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi...tutakumbuka kalamu yako na kumiss michango yako! Umeondoka lakini umezalisha wengi sana wenye uthubutu wa kufikiri!
 
Back
Top Bottom