Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Oh my God! Have Mercy on us!
Kwa nini binadamu tunakuwa wanyama hivyo? Kama walikosana na mume si wangepeana tu talaka yaishe? Unapoua halafu unaua mama au mzazi ambaye fika watoto wake wataumizwa kwa nini usiwaze kwanza watoto atakao waacha?
Nina imani polisi huko California watafanya uchunguzi wake na haki itatendeka. Huyo dada yake aitwaye Lilian Mgonja aombe kwa sasa apewe custody ya huyo mtoto maana siamini hata ndugu wa hao mume. Tooooo paining!
Kwa nini binadamu tunakuwa wanyama hivyo? Kama walikosana na mume si wangepeana tu talaka yaishe? Unapoua halafu unaua mama au mzazi ambaye fika watoto wake wataumizwa kwa nini usiwaze kwanza watoto atakao waacha?
Nina imani polisi huko California watafanya uchunguzi wake na haki itatendeka. Huyo dada yake aitwaye Lilian Mgonja aombe kwa sasa apewe custody ya huyo mtoto maana siamini hata ndugu wa hao mume. Tooooo paining!