mkuu itabidi uombe radhi na hii coment yako, maana umewakwaza watu.
Unfortunately sio kwa matakwa ya serikali ya jangili dhaifu. RIP kamanda, tulisikia walichokufanya, na matokeo ya madoc kule ujerumani kuwa walikuwekea madudu makali sana na yakasambaratisha cells zako mwilini...!! Nao watalipwa hapa hapa duniani....
Walid. Ni mchapa kazi ambaye taifa halikuwa tayari kumpoteza ndio maana ikagharuimia kote huku
Kansa yake haikuwa na tiba hapa
Ila ugonjwa wake kuna dalili kubwa mafisadi walimpandikiza virusi vya kansa
Kuna kila dalili kutokana na ripoti za apollo na france
Si cansa ya kuanza kidogo kidogo imepandikizwa na kuenea kwa kasi mwilini kwake
Kuna mafisadi ambao walikua wakintiushia sana mpaka alitaka kuacha lakin serikali ilimkatalia
Miongon mwa wafanya biashara mafisadi wanaotuhumiwa ni pamoja na wabunge wafanya biashara
Majina tunayo wakati muafaka tutayataja
Pia kuna kampuni za madini walimkamia na kumtisha yote kwa vile yeye alikua akifanya kazi kwa mujibu wa sheria
Tunasubiri tuzike patachimbika
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
yaweza kuwa kweli mkuu.Nakubaliana na wewe, Walid Juma ni mtu ambaye aliependa sana watu na kufanya kazi yake kwa umakini sasa,, kaiboresha customs sana kwani customs ndio kila kitu ya TRA.. Hakuna kama Walid Juma Taifa limepoteza kifaa!!
TRA na Taifa limepoteza mtu makini, mchapakazi, mkweli, mwadilifu, mpenda maendeleo ya taasisi na ambaye hakupenda wonevu kwa watu wa chini yake. Tulimpenda Walid Juma Mungu amependa kumtwaa katika ulimwengu huu
AMINA
umeenda mbali mkuu lakini hakuna lisilowezekana nchi hii, laiti Mh. Mwakyembe na wenzake wangelisema kilichowatokea kwa hakika wengi wangelikuelewa zaidi hata.Walid. Ni mchapa kazi ambaye taifa halikuwa tayari kumpoteza ndio maana ikagharuimia kote huku
Kansa yake haikuwa na tiba hapa
Ila ugonjwa wake kuna dalili kubwa mafisadi walimpandikiza virusi vya kansa
Kuna kila dalili kutokana na ripoti za apollo na france
Si cansa ya kuanza kidogo kidogo imepandikizwa na kuenea kwa kasi mwilini kwake
Kuna mafisadi ambao walikua wakintiushia sana mpaka alitaka kuacha lakin serikali ilimkatalia
Miongon mwa wafanya biashara mafisadi wanaotuhumiwa ni pamoja na wabunge wafanya biashara
Majina tunayo wakati muafaka tutayataja
Pia kuna kampuni za madini walimkamia na kumtisha yote kwa vile yeye alikua akifanya kazi kwa mujibu wa sheria
Tunasubiri tuzike patachimbika
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
TRA KWISHA KABISA SASA... Hiyo nfasi hata simjui nni wakumreplace.. hapo ndio penyewe.. Walid Juma yupo Peponi inshaallah na kama kuna waliomfanyia mby basi wajijue nawao ipo siku wataondoka hpa duniani.. Kamanda aliejitolea jasho kwa sana kuliendeleza Taifa letu na kila mmoja anajua hilo na wanomchukia wote ni ambao ni wakandamizaji wa Taifa.. Huyu huyu Kmanda kaiboresha sector yke mizigo inakua get cleared in day,,online licence,, cargo ni mambo mengi sana..Wanosema katibiwa UFARANSA, mapato alizoitengenezea Taifa alistahili hiyo privelage na wanaosema kafia Ufaransa na hospitali zipo yeye alikua akihangaikia afya yake kwani mnajua Tanzania hatuna mendeleo ya kutosha kutibu kansa. mungu ndie mpangji kaamua kumpumzisha pahala pema. Tumuombee Dua marehemu kwani ilikua ukimuona MR. Walid TRA ANGALAU UNAPATA IMANI NA TRA. kazi ni nzito ya kumchagua kamishna mpya apo custom mpaka sasa sijamfikiria mtu.. sijui mnasemaje?mkuu tunaomboleza kwanza