MSIBA: Kamishna wa Forodha (TRA) ndugu Walid Juma afariki dunia

Kila nafsi itaonja mauti R.I.P Walid Juma yako ushayajuwa na sisi tupo kwenye foleni kwa safari hiyo hiyo. Mola awape nguvu na subira, wafiwa walimpenda marehemu lakini Mola alimpenda zaidi.
 
wewe siyo mstaarabu bali ni xx//#%@**. The guy is dead for heaven sake. Who are you to judge him?
Kama huwezi kuandika hata pole basi ungenyamaza kimya. Unamtuhumu maiti ilhali ukijua kuwa hawezi kujitetea????

hivi unaelewa maana ya abunwasi???ushawah soma kitabu kinachohusu huyu kiumbe???usinge reply
 
Unfortunately sio kwa matakwa ya serikali ya jangili dhaifu. RIP kamanda, tulisikia walichokufanya, na matokeo ya madoc kule ujerumani kuwa walikuwekea madudu makali sana na yakasambaratisha cells zako mwilini...!! Nao watalipwa hapa hapa duniani....

Mhhh ndio maana watu walihoji sana uteuzi wa yule kijana wa Barclays....wengi walidhani Walid ndo angefaa sana kuchukua nafasi ya mzee Kitilya akiondoka
 
Walid-Juma.jpg
 
Tungemhukumu akiwa hai kama tulikuwa na madai genuine and tangible evidences. Sasa hivi hatumhukumu yeye tunaihukumu familia yake na kuwaongezea machungu tu. Hili ndilo tatizo la Bongo; sifa mtu anapewa kwenye jeneza hata shutumu mtu anapewa kwenye jeneza. Hizi ni dalili za uoga wa kuambiana ukweli. Kama mtu amefanya mazuri mwambie live akiwa hai, kama ameboronga mpe makavumakavu akiwa hai akitaka ameze asipotaka ateme. Sio busara au haki kusubiri hapumui ndio unasema habari zake maana hapo hawezi kujitetea au kujirekebisha. RIP Walid Juma. Familia poleni sana kwa msiba huu.
 
simfahamu but RIP
kama alikwiba basi watafaidi walio hai kwani utajiri wanafaidi wazima na hakuna ajuaje siku wala saa
tuache kujilimbikizia.
 
Unfortunately sio kwa matakwa ya serikali ya jangili dhaifu. RIP kamanda, tulisikia walichokufanya, na matokeo ya madoc kule ujerumani kuwa walikuwekea madudu makali sana na yakasambaratisha cells zako mwilini...!! Nao watalipwa hapa hapa duniani....

Inauma sana,marehemu Warid alikuwa kifaa ndani ya TRA na hilo serikali ya mafisadi walilijua sana.
 
Du wanafia india,uk,ufaransa watu na miela yao,Tanzania hii hii
lakini wote mwisho wa siku tunatoa mafunza, tena makubwaaaaaaa! JAMANI TUHANGAIKIE ROHO ZETU ZAIDI! rip walid!
 
..Wewe na huyu kimba mwingine aliyeandika kuwa huyu marehemu ni fisadi, hope soon mtajua ukweli na kuja hapa jamvini kutubu !!!!!!!!!!!!!!


Ameteseka sana just kwa uadilifu wake, lkn Mungu ni wa wote ipo siku !!!


Majority are corrupt au hujawahikuingia kwenye 18 zao ukajionea maajabu ya TRA?
 
..Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi na awape nguvu na faraja familia yake, ndugu, jamaa na marafiki katika kipindi hiki kigumu kwao~AMEN
 
Yaan we acha tu, nilienda na b mkubwa apollo nilitaka kudata,, yaan rum tu ndan ya hospital international division cheapest ni kama usd 200 per day, bado msos maana hospital apollo wame outsource kwa catering company nayo inaleta invoice daily, bado bili ya surgery, vipimo na matibab yote.. na haraka haraka matibabu sio chini ya mwezi, hapo ujaweka matibabu na ni mwendo wa madolari tu,,, japokuwa ndugu,jamaa na marafiki walijichanga but hizo cost ni noma...

Raha ya hawa wenzetu wanatibiwa na serikali so yeye haulizi hata bei ni shangwe tu, maana kipindi nipo kule alikuwepo fataki wa lulu yule mbunge.. Yaan anakaa hospital hajui hata bei zinakuwaje as serikali inalipa, we unawaza hela nikiishiwa itakuaje ye anacheka cheka tu as kila kitu kalipiwa

Hapo penye nyekundu jaribu kutuweka wazi tumjue! Hii style ya wakubwa kwenda kutibiwa nje ya nchi ni sahihi ? Kiongozi anayetibiwa nje atakuwaje na nia ya kuboresha hospitali za hapa nyumbani ikiwa anajua yeye na familia yake hawatatibiwa huko? Na ndio maana wanakataa kuwasikiliza hata madaktari wetu ikiwa wana madai hata kama ni ya msingi na badala yake wanawafukuza.Rufaa hazikatazwi lakini kuna watu wanzitumia vibaya na kutumia heal za walipa kodi isivyo halali.
Nashauri suala hili liwekwe wazi ikiwezekana katika katiba yetu mpya.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom