Mshtakiwa wa epa na mwenzake jela miaka 18

THE CHOICE

Member
Jul 11, 2012
19
1
[h=3][/h]
Rajabu-Maranda.jpg

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imemhukumu kifungo cha miaka 18 jela Kada wa CCM, Rajabu Maranda na binamu yake, Farijala Hussein katika kesi ya tuhuma za kuchota Sh2.2 bilioni za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Mahakimu wawili
 
Nilitegemea mleta habari umesoma vizuri kwenye source ya habari yako.
"Hakimu Projestus Kahyoza na mwenzake Catherine Revocate iliwatia hatiani washtakiwa katika makosa sita kati ya saba yaliyokuwa yakiwakabili, na kuwahukumu kifungo cha miaka mitatu kwa kila kosa. Hata hivyo, wakati wakisoma hukumu hiyo, mahakimu hao walisema badala ya washtakiwa kutumikia kifungo cha miaka 18, hukumu yao itaenda sambamba hivyo watatumikia kifungo cha miaka mitatu jela"

Kwa maelezo haya yaliyoko kwenye source uliyotupatia nakuomba ubadili heading yako

Source ni Blog ya THE SOURCE na wewe mwenyewe ni THE SOORCE maana yake haupo makini na taarifa zako au mimi sijakuelewa!
 
Siku za mbeleni wahusika wakuu watasogezwa mbele ya haki na hata kurejea hizi hukumu. Mahakimu na majaji wawe macho sana katika kesi za skendo za kitaifa na kimataifa
 
Back
Top Bottom