Wote sio Waimbaji bali wanacopy nyimbo za watu.. samahani wakuu wangu maana mimi naona kuwa kama kweli tunataka watu kuwa waimbaji basi watunge nyimbo zao na sisi hivi tunavyofanya kucopy na kupaste
huyo Pascal uwezo wa kutunga na kuimba anao kabisa nyota njema huonekana asubuhi
Duh usha-m-mind jamaa.
Duh MJ mbona mawazo yenu ndo yako huko huko tu
Firstlady 1
mama maisha target ,maisha kusoma nyakati,,mtoto analipa,mtoto maisha kayapatia,,mtoto maisha ameyatega sio yamemtega...kwa raha zako mama
(25+1.5+0.5)million + kwa wasiojua(gari) ndogo amepewa na bibi yake madam ritta....kwa nini usimbakize dar..huyo kwanza unampeleka mariedo si unakumbuka alivyokuja zile pamba za mariedo utasema amenawishwa maji ya baraka sehemu....kazi kwako.....
Firstlady 1
mama maisha target ,maisha kusoma nyakati,,mtoto analipa,mtoto maisha kayapatia,,mtoto maisha ameyatega sio yamemtega...kwa raha zako mama
(25+1.5+0.5)million + kwa wasiojua(gari) ndogo amepewa na bibi yake madam ritta....kwa nini usimbakize dar..huyo kwanza unampeleka mariedo si unakumbuka alivyokuja zile pamba za mariedo utasema amenawishwa maji ya baraka sehemu....kazi kwako.....
Nimesoma sehemu kwamba jamaa anamtoto anaitwa RITA.
aaah jamaa alipata mtoto akiwa ndani ya Bss ndo maana akaamua kumpa jina la madame Rita
na wangu mwezi wa kumi na moja namwita """"second lady""hizi first kila mtu ana NGO SHIRKISHI...NAOGOPA
kwi kwi kwi na wewe utasema jina ulilitoa kwa sababau zipi??
Uwiiiii ruwa oko mndumi ngisaria .....sababu mama "HILO JICHO TU"""
Yalaaaaaaaaaaaaabi salama
eeeh pdidy
WE ACHA TU!!!ILE AHADI IKO PALEPALE MAMA "SECONDLADY" KAMA MUNGU AKITUPA MSICHANA
ila madam rita na kelvin, mh....................................