Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
pole weee aaah nchi hii mgao mgao tanesco mitambo mibovu nimesikia yana kuanza mwa1965
Nunua jenereta mamii. Ukiwategemea tanesco samaki wataozea kwa friji
pole weee aaah nchi hii mgao mgao tanesco mitambo mibovu nimesikia yana kuanza mwa1965
sasa kama mshindi kishajulikana tunakwenda ukumbini kufanya nini?
Msome nyakati. Huyo kijana ana sauti ya mawimbi ya kufoji. Kipaji kipo kwa kasian ambae ni mshindi
kulitokea matatizo wakati wanafanya maintenance jana na wakulu wa kaya hii wametoa maelezo ya kutosha kuhusu hili.....wamesema thread za masaa 21 zimepotea na kuomba wenye thread waanzishe upya.Jamani JF siku hizi kuna sheria mpya? nauliza hivyo maana jana nimepost comment yangu hapa naona imeondolewa sijui sababu ni nini? na wale wote walio i-Quote comment yangu na zao zimeondolewa.Tafadhalini ni julisheni kama sheria zimebadilika humu ndani.
Mshindi ni Peter Msechu hakuna ubushi!
Hakuna ubishi mkuu, ila hasije kuwa kama washindi walio mtangulia baada ya kupata ushindi hakuna walicho kifanya naona kimya tu.