Mshiko au elimu kidada nijuzeni

Let me tell you something about women. Women would have us believe that they are the victims; That we break their hearts for sports & care more about our friends . That's crap. They say they want romance, they say they want true love, but all they want is a check list. Is he perfect? Is he handsome? Is he a doctor? For you men who fit the criteria, don't kid yourselves. Cuz they're not sleeping with you, they're sleeping with a carefully calculated set of venal choices. Money over substance, looks over soul, polished over principles. No gesture, no matter how real or romantic will ever compensate for a really impressive list of credentials.
 
Let me tell you something about women. Women would have us believe that they are the victims; That we break their hearts for sports & care more about our friends . That's crap. They say they want romance, they say they want true love, but all they want is a check list. Is he perfect? Is he handsome? Is he a doctor? For you men who fit the criteria, don't kid yourselves. Cuz they're not sleeping with you, they're sleeping with a carefully calculated set of venal choices. Money over substance, looks over soul, polished over principles. No gesture, no matter how real or romantic will ever compensate for a really impressive list of credentials.

Nimepata kigugumizi,Njiwa weka basi na upande wa pili
 
hapo red ndo penyewe yani nibora umkute ana pesa akunyanyase wala roho kuuma ni kidogo ila nakushauri rose rose kama unasikio sikia dont ever evrer lasting kumpenda mwanaume fukara they know how to pretend that u have never know in this world yani ni wabaya kupita kiasi ni bor umkute na pesa yake, yani huwa wanabadilika paka weweza kufa kwa presha ndani naongea nikimaanisha siwezi kuwa na mwanamume asiye na pesa mimi nilishaapa go to hell wacha waninyanyase kwani si pesa zao......isitoshe naweza kujilisha bwana, sex machine zipo :yield:
[/COLOR]


sawa mama
nimekubali mpz
kes izi nimeziona nying wanaanza ata kitanda hawana siku wakifanikiwa kujenga kakibanda tu...dah mwanaume anageuka uyo mweeee we kitu gan....una nin...kitu gan wewe kwenu mASIKN...
 
hapo red ndo penyewe yani nibora umkute ana pesa akunyanyase wala roho kuuma ni kidogo ila nakushauri rose rose kama unasikio sikia dont ever evrer lasting kumpenda mwanaume fukara they know how to pretend that u have never know in this world yani ni wabaya kupita kiasi ni bor umkute na pesa yake, yani huwa wanabadilika paka weweza kufa kwa presha ndani naongea nikimaanisha siwezi kuwa na mwanamume asiye na pesa mimi nilishaapa go to hell wacha waninyanyase kwani si pesa zao......isitoshe naweza kujilisha bwana, sex machine zipo :yield:
[/COLOR]

kweli kabisa wanaume wasio na pesa hujaga kuwa na dharau sana akipata, akiwa hana aaa utakula mema yote ya nchi kila kitu atakufanyia ngoja apate lol salaleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee utaona dunia inavyozunguka ukifikiria ulivyomvumilia half kapata anaanza kuleta za kuleta. Bora aninyanyase na zake roho haiotoniuma sana si jasho lake? mbona c tunawanyanyasaga na vitumbua vyetu cause ni vyetu, kuliko tuhangaike wote then aje aninyanyase kwa pesa tulizotafuta wote inauma sana aise tena sana rose mdogo wangu be carefulooooooo na marioo utajacheka nakwambia
 
Let me tell you something about women. Women would have us believe that they are the victims; That we break their hearts for sports & care more about our friends . That's crap. They say they want romance, they say they want true love, but all they want is a check list. Is he perfect? Is he handsome? Is he a doctor? For you men who fit the criteria, don't kid yourselves. Cuz they're not sleeping with you, they're sleeping with a carefully calculated set of venal choices. Money over substance, looks over soul, polished over principles. No gesture, no matter how real or romantic will ever compensate for a really impressive list of credentials.

Well said, so what should we really focus on ......... to make them happy/wine them .:thinking:
 
Wakuchakachua mi nilidhani mkizisaka kwa pamoja atakuwa na huruma/aibu kukunyanyasa
maana kila mtu hapo gezaulole anajua mlikuwa vipuku mlipokuta ........ a mi naona wewe
tamaa yako :thinking: na wengine huku niliko huwa wanawaua wakino wamewachoka ...........
afadhali nyumbani tunachepuka na kurudi jioni ..........:thinking: halafu hizi machine zinatukata stimu
sijui kaziazisha nani ?
usitake kumjua we just make use of it !!!!!!!!!!!!!!!!!!! and be happy that machine is available you can set temperature,voice, style...etc the way u want and even if you have 4 of them no one can dare to ask whyyyyyyy, hahaaaaa:yield::smile-big:
 
kweli kabisa wanaume wasio na pesa hujaga kuwa na dharau sana akipata, akiwa hana aaa utakula mema yote ya nchi kila kitu atakufanyia ngoja apate lol salaleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee utaona dunia inavyozunguka ukifikiria ulivyomvumilia half kapata anaanza kuleta za kuleta. Bora aninyanyase na zake roho haiotoniuma sana si jasho lake? mbona c tunawanyanyasaga na vitumbua vyetu cause ni vyetu, kuliko tuhangaike wote then aje aninyanyase kwa pesa tulizotafuta wote inauma sana aise tena sana rose mdogo wangu be carefulooooooo na marioo utajacheka nakwambia
namshangaa sana rose kama still today atakuwa na mwazo ya kutaka kutafuta na kidume(mariozzzz) yani mimi formular ni moja huna pesa siwezi kukuvumilia kwani nikufanya kitu WITHOUT GUARANTEE KABISA maean i can nt be sure of tabia zako miaka ijayo sooooo take your time i will take mine aliye na pesa twende hospital check afya then mapenzi, sifugi mwanamume mie.........asiye na pesa ni moshi tu baada ya muda moto huwaka, for my advice t care Rose,:nono::nono:
 
kweli kabisa wanaume wasio na pesa hujaga kuwa na dharau sana akipata, akiwa hana aaa utakula mema yote ya nchi kila kitu atakufanyia ngoja apate lol salaleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee utaona dunia inavyozunguka ukifikiria ulivyomvumilia half kapata anaanza kuleta za kuleta. Bora aninyanyase na zake roho haiotoniuma sana si jasho lake? mbona c tunawanyanyasaga na vitumbua vyetu cause ni vyetu, kuliko tuhangaike wote then aje aninyanyase kwa pesa tulizotafuta wote inauma sana aise tena sana rose mdogo wangu be carefulooooooo na marioo utajacheka nakwambia
sawa maty
asante sana dadangu
ntafanyia kaz
mbona daily natishika jaman na izi mahusiano mandoa?
sasa km nimempenda masikin nifanyeje..???nipostpond pendo mpk akpata au nifeki love kwa tajiri cz ana ela...????:bowl::bowl::bowl::bowl::bowl:
 
namshangaa sana rose kama still today atakuwa na mwazo ya kutaka kutafuta na kidume(mariozzzz) yani mimi formular ni moja huna pesa siwezi kukuvumilia kwani nikufanya kitu WITHOUT GUARANTEE KABISA maean i can nt be sure of tabia zako miaka ijayo sooooo take your time i will take mine aliye na pesa twende hospital check afya then mapenzi, sifugi mwanamume mie.........asiye na pesa ni moshi tu baada ya muda moto huwaka, for my advice t care Rose,:nono::nono:
dah sawasawa dada zangu
dah lakin kwa mbali mtakuwa hamuwatendei haki wale waliowapenda kwaukweli...pesa zinatafutwa lakin dada zangu real lav halitafutw...
--na pia si wote wanaobadilika wakipata pesa....
--wengne heshima na mapenz yanaongezeka wakipta pesa ..hawasahau walikotoka...
..dah mi sijui nachanganyikwa kabsaaaaaaaaaaaa....
 
hapo red ndo penyewe yani nibora umkute ana pesa akunyanyase wala roho kuuma ni kidogo ila nakushauri rose rose kama unasikio sikia dont ever evrer lasting kumpenda mwanaume fukara they know how to pretend that u have never know in this world yani ni wabaya kupita kiasi ni bor umkute na pesa yake, yani huwa wanabadilika paka weweza kufa kwa presha ndani naongea nikimaanisha siwezi kuwa na mwanamume asiye na pesa mimi nilishaapa go to hell wacha waninyanyase kwani si pesa zao......isitoshe naweza kujilisha bwana, sex machine zipo :yield:
[/COLOR]

Msagajwi
 
dah sawasawa dada zangu
dah lakin kwa mbali mtakuwa hamuwatendei haki wale waliowapenda kwaukweli...pesa zinatafutwa lakin dada zangu real lav halitafutw...
--na pia si wote wanaobadilika wakipata pesa....
--wengne heshima na mapenz yanaongezeka wakipta pesa ..hawasahau walikotoka...
..dah mi sijui nachanganyikwa kabsaaaaaaaaaaaa....


Mapenzi kizunguzungu mpenzi na hayana formula mwaya kiukweli yanachanganya sio rahis kumjua anayekupenda kwa dhati dia kibaya zaidi wanaume ambao hawana kitu (handolingi narudia handolingi)yao ni balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa rose ninaposema balaa namaanisha. Kwa kifupi inatakiwa kumuomba mungu sana ili uweze pata mwenza wa ukweli lakini kwa akili zako binafsi ni ngumu ngumu sana labda hawa wa kufurahishana lakini wa ukweli ni lazima usugue goti hakuna short cut.



 
Wakuchakachua mi nilidhani mkizisaka kwa pamoja atakuwa na huruma/aibu kukunyanyasa
maana kila mtu hapo gezaulole anajua mlikuwa vipuku mlipokuta ........ a mi naona wewe
tamaa yako :thinking: na wengine huku niliko huwa wanawaua wakino wamewachoka ...........
afadhali nyumbani tunachepuka na kurudi jioni ..........:thinking: halafu hizi machine zinatukata stimu
sijui kaziazisha nani ?

Aah wapi ndugu yangu, wamama wengi waliotupwa juani na waume zao walianza pamoja.......
 
Wadada wa kigogo hapendi pesa kabisa wanapenda mapenzi tu sasa sijui hali halisi ya kwao ikoje

Wanapenda mapenzi mapenzi ya aina gani? mtu anaejua ku du da nidful vyema au penzi la dhati
 
Wakuchakachua mi nilidhani mkizisaka kwa pamoja atakuwa na huruma/aibu kukunyanyasa
maana kila mtu hapo gezaulole anajua mlikuwa vipuku mlipokuta ........ a mi naona wewe
tamaa yako :thinking: na wengine huku niliko huwa wanawaua wakino wamewachoka ...........
afadhali nyumbani tunachepuka na kurudi jioni ..........:thinking: halafu hizi machine zinatukata stimu
sijui kaziazisha nani ?

Wakati mwingine inakuwa vigumu kweli kutupia lawama kwa wadada wanaopenda wakaka wenye pesa.
Ukiwa na mahusiano na mkaka wakati hana hela mara nyingi akishapata hela atazibuka na kuwa na mahusiano na wadada wengi ali apate kuzitumia hizo hela. Huwa ni vigeugeu sana na husahau kabisa kama walikuwa hali ngumu ya kipesa.

Binafsi tabia ya mtu na imani yake kwa Mungu ndio napenda...Pesa hutafutwa tu.
 
Isiwe kina dada tu, nyie je mara goal keeper, mara vuvuzela ila ukiwa na kipato hapo macho ya wengi yanakutazama wanafahamu kwamba kutakuwa hakuna kuombwa ombwa hela ya ch.., pe... nk.
 
Back
Top Bottom