Mkuu, mbali na neno la bluu hapo juu ambalo huenda ulimaanisha KISIASA, lakini hujaweka jina la kitabu hicho ili kurahisisha mambo!Wanakwetu kuna mtu ameshakisoma kitabu cha kisiasi nilichoona kwenye tv kinazinduliwa wiki mbili zilizopita?
kama yupo kuna nini ndani yake jamaani, naomba kujua