Mshikamano Msibani-Mbowe, Cheyo, Mrema, Mbatia-Wapo!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,438
113,445
Wanabodi,
Nimepata nafasi kuhudhuria msiba hapa nyumbani kwa Jeremia Sumari.

Kama ilivyo kwa Regia, hapa kwa Sumari ni vivyo hivyo, viongozi wa vyama vya upinzani wameungana na viongozi wa CCM na waombolezaji wengine kuwafariji wafiwa.

Jioni hii, Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akiongozana na Naibu Katibu Zitto Kabwe wameungana na Mwenyekiti wa UDP Mzew John Cheyo wapo kwa pamoja na mawaziri kadhaa wa serikali ya JK wakiongozwa na Mawaziri Wakuu Wastaafu Mhe. Edward Ngoyai Lowassa!. na Fredrick Tuluway Sumaye!

Jana rais Jakaya Kikwete na Katibu Mkuu wa Chadema Dr. Wilbrod Slaa wakifika nyumbani hapa kuwafariji wafiwa!.

Mawaziri Wasira, Nchimbi, wabunge wakiongozwa na Katibu wa Bunge Dr Kashilila etc pia wapo!

Ni jambo jema na la kupendeza uonapo ndugu wakikaa pamoja kwa upendo wakati wa shida na raha. Huu ni uthibitisho kuwa licha ya tofauti za kiitikadi, Watanzania tu wamoja kwa upendo na mshikamano miongoni mwetu!.

"Mahali ni Pazuri..Ndugu Wanapokaa...

My Take:
Wanabodi hivi kama ushirikiano, upendo, amani na mshikamano unaofanyika misibani kama ungepelekwa mpaka Bungeni Dodoma, Jee Tanzania tungekuwa wapi?.

Rip Jerry Solomon Sumari!.Thanks kwa Upendo, Amani, Ushirikiano na Mshikamano!

Pasco.
Update:
Ratiba imetolewa.
1. Misa kesho saa 2:00 Msasani Lutheran
2. Saa 5 Mwili kupelekwa Karimjee
kuagwa kitaifa.
3. Mwili kurudi kulala nyumbani.
4. Jumapili asubuhi kusafirishwa kwa ndege kwenda Arusha.
5. Maziko Jumatatu.
 
Wanabodi,
Nimepata nafasi kuhudhuria msiba hapa nyumbani kwa Jeremia Sumari.

Jana rais Jakaya Kikwete na Katibu Mkuu wa Chadema Dr. Wilbrod Slaa wakifika nyumbani hapa kuwafariji wafiwa na kusalimiana!.

Ni jambo jema na la kupendeza uonapo ndugu wakikaa pamoja kwa upendo wakati wa shida na raha. Huu ni uthibitisho kuwa licha ya tofauti za kiitikadi, Watanzania tu wamoja kwa upendo na mshikamano miongoni mwetu!.

Rip Jerry Solomon Sumari!.
Pasco.

We! Unasema kweli!
 
Ratiba imetolewa.
1. Misa kesho saa 2:00 Msasani Lutheran
2. Saa 5 Mwili kupelekwa Karimjee
kuagwa kitaifa.
3. Mwili kurudi kulala nyumbani.
4. Jumapili asubuhi kusafirishwa kwa ndege kwenda Arusha.
5. Maziko Jumatatu.
 
Jana rais Jakaya Kikwete na Katibu Mkuu wa Chadema Dr. Wilbrod Slaa wakifika nyumbani hapa kuwafariji wafiwa!.

Mawaziri Wasira, Nchimbi, wabunge wakiongozwa na Katibu wa Bunge Dr Kashilila etc pia wapo!

Huyu (Wasira) yuko kikazi tu! Siyo muombolezaji. Anafanya tu kazi aliyopangiwa na JK kwa ufanisi mkubwa.
 
Pasco kule "mjengoni" ni lazima kuwe na migongano ya kiitikadi na kimawazo. Ukitaka huo "umoja" unaouona misibani uende hadi bungeni utakua unatuombea "tuliwe" mithili ya simba amlavyo swala, na watawala.Achana na mawazo ya namna hiyo.
 
Lowasa siyo waziri mkuu mstaafu.
Bunge litusaidie kufafanua hili suala, marupurupu yake yafafanuliwe uhalali wake pia.
Samahani pasco, just noticed.
 
Wanabodi,
Nimepata nafasi kuhudhuria msiba hapa nyumbani kwa Jeremia Sumari.

Kama ilivyo kwa Regia, hapa kwa Sumari ni vivyo hivyo, viongozi wa vyama vya upinzani wameungana na viongozi wa CCM na waombolezaji wengine kuwafariji wafiwa.

Jioni hii, Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akiongozana na Naibu Katibu Zitto Kabwe wameungana na Mwenyekiti wa UDP Mzew John Cheyo wapo kwa pamoja na mawaziri kadhaa wa serikali ya JK wakiongozwa na Mawaziri Wakuu Wastaafu Mhe. Edward Ngoyai Lowassa!. na Fredrick Tuluway Sumaye!

Jana rais Jakaya Kikwete na Katibu Mkuu wa Chadema Dr. Wilbrod Slaa wakifika nyumbani hapa kuwafariji wafiwa!.

JE WAKISALIMIANA TUME YA UCHAGUZI ITATENDA HAKI? UCHAGUZI UTAKUWA HURU???

ASKARI NA USALAMA WA TAIFA WATAACHA KUBAMBIKIA WAPINZANI KESI??

BEI YA UMEME ITAPUNGUA??

BEI YA MAFUTA TAA ITAPUNGUA??

MFUMUKO WA BEI UTAPUNGUA???

WANAFUNZI NA WATOTO WA MASIKINI WATAPATA MIKOPO??

HII NCHI ILIYOUZWA KWA 10% ITARUDISHWA KWA WANANCHI???

---- HATUWEZI KUHALALISHA UDHALIMU KWA SALAAAMMMM.....

Mawaziri Wasira, Nchimbi, wabunge wakiongozwa na Katibu wa Bunge Dr Kashilila etc pia wapo!

Ni jambo jema na la kupendeza uonapo ndugu wakikaa pamoja kwa upendo wakati wa shida na raha. Huu ni uthibitisho kuwa licha ya tofauti za kiitikadi, Watanzania tu wamoja kwa upendo na mshikamano miongoni mwetu!.

"Mahali ni Pazuri..Ndugu Wanapokaa...

My Take:
Wanabodi hivi kama ushirikiano, upendo, amani na mshikamano unaofanyika misibani kama ungepelekwa mpaka Bungeni Dodoma, Jee Tanzania tungekuwa wapi?.

Rip Jerry Solomon Sumari!.Thanks kwa Upendo, Amani, Ushirikiano na Mshikamano!

Pasco.
Update:
Ratiba imetolewa.
1. Misa kesho saa 2:00 Msasani Lutheran
2. Saa 5 Mwili kupelekwa Karimjee
kuagwa kitaifa.
3. Mwili kurudi kulala nyumbani.
4. Jumapili asubuhi kusafirishwa kwa ndege kwenda Arusha.
5. Maziko Jumatatu.

Watanzania wameamka, ni upuuzi kusalimiana, muda wa kusalimiana upo au tuna muda wa kufanya kazi kukabiliana na mfumuko wa bei, Ajira kwa Vijana hakuna, KILIMO kwanza imekuwa kilio kwanza, wawekezaji uchwara wanapewa ardhi
 
Wakuu mnaonaje JF itoe tuzo kwa JK kutokana na mahudhurio na michango yake ktk misiba, sherehe na sikukuu? Naomba mnisaidie kusuggest jina la tuzo hii
 
huo "mshikamano" mnaouita (hasa hao viongozi wa serikali na bunge).................. ndo kodi zetu zinatafunwa hivyo..................... kila uliyemtaja hapo ana "fungu" na pia atakamata "fungu" jingine atajkapohudhuria mazishi arusha.................... nyie mnaomboleza na kuzika wenzenu wanajiimarisha kuichumi...................... kwa kodi zetu........................ kweli kufa kufaana!!...................

i hope na mh, pasco hakosi bahasha za hapa na pale hapo msibani..................... teh teh...................... nchi hii bana, .................. taaaaamu kwlikweli......................
 
Back
Top Bottom