NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
ni jibibi usijidai huko au ndio kazi yakooo???allaaaaah kumbeeee!!!
40-45 sio ji bibi bana.....ukute kajiweka poa.....we!
40-45 sio ji bibi bana.....ukute kajiweka poa.....we!
ya moto!
maji au nini???chai???
Huyu sio binti bana....! Na hakuna mtu asiye na ulevi wake....! Hivyo, jaribu dunia nyingine....!nahitaji binti,umri miaka 40 - 45,alieachika au ambae hajaolewa,awe anajitegemea.hana UKIMWI Wala GONJWA LOLOTE LA KUAMBUKIZA,asiwe sex maniac(sijui kwa kiswahili nisemeje),asiwe mlevi wa chochote.kama unajiona una sifa hizo hapo juu ni PM.
akisema utameza au utatema
Waambie hao....! tatizo wao ni vibinti hata service lazima complain, sasa shida juu ya nini? wakati wapo watu wanatoa huduma super bila ooh sijui nimepitiliza siku zangu? kwa hivi vijibinti vya miaka 40+ huwezi sikia hilooo!.
Pengine anamuita binti comperatively; yeye anaweza akawa over 75 kumuita binti mwanamke mwenye 40-45 siyo tatizo ati!yaani 40-45 unamuita binti? basi utakuwa mtu mzima kweli kweli!