Najiandaa kuoa, hivyo nikawajibika kutafuta mshenga,
Nikafanikiwa kumpata Mzee mmoja wa miaka 80 hivi lakini alifiwa na Mke miaka 16 nyuma.
nikiamini kwa umri wake na busara zake nikaona nimekula dume kumbe wapi,
UTATA UKAJA
Mara akaanza kujenga na mazoea na Mama Mkwe wangu (Mjane) kwa takribani miaka 22 sasa)
mara outing mara lunch lakini sio siri tena wapo ndani ya DIMBWI LA MAPENZI na kwa tetesi tu nasikia wanataka KUOANA.
Wana JF hii ni haki kwangu, kwao, Binti yao pamoja na familia yao na yangu?.
Nikafanikiwa kumpata Mzee mmoja wa miaka 80 hivi lakini alifiwa na Mke miaka 16 nyuma.
nikiamini kwa umri wake na busara zake nikaona nimekula dume kumbe wapi,
UTATA UKAJA
Mara akaanza kujenga na mazoea na Mama Mkwe wangu (Mjane) kwa takribani miaka 22 sasa)
mara outing mara lunch lakini sio siri tena wapo ndani ya DIMBWI LA MAPENZI na kwa tetesi tu nasikia wanataka KUOANA.
Wana JF hii ni haki kwangu, kwao, Binti yao pamoja na familia yao na yangu?.