Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Well to me jamaa anaweza kuwa anaenda kulala pale for 2 or 3 days sio mbaya, jamaa naye si ana kwake vivyo hivyo it applies the same kwa mwanamke sio uache kwako ulikopanga unawaweka ndugu zako halafu unaenda kuhamia kwa mwanamke:nono::nono: shows signs of no responsibility
Ndombolo!Lakini mbona hatujiulizi swali la msingi hapa. Huyo jamaa kwa macho ya wengi (humu ndani ya JF) anaonekana kuwa ni CRAP. Sasa huyo dada kampendea nini? Baada ya hapo tunaweza kutoa ushauri ambao ni rational!
Lakini mbona hatujiulizi swali la msingi hapa. Huyo jamaa kwa macho ya wengi (humu ndani ya JF) anaonekana kuwa ni CRAP. Sasa huyo dada kampendea nini? Baada ya hapo tunaweza kutoa ushauri ambao ni rational!
kuna dada mmoja nimesoma naye, ana bwana wa Kikongo na huyo bwana naishi kwa huyo dada . Lakini huyu dada ameniambia hajafurahishwa na huyu bwana kukaa pale kwake ingawa alishajitambulisha kwa wazazi wake na kutoa mahari lakini angependa yeye ndio ahamie kwa huyo bwana. Ila tatizo bwana alikuwa na chumba kimoja tu ambacho sasa amewapa wadogo zake wanakaa. Kila akimwambia huyo bwana kuwa hajisikii vizuri yeye kukaa pale huyo bwana anashauri wauze pale walipo na wakajenge sehemu nyingine ambapo ndugu wa mke hawatajua kama ni kwake.
Mimi nilijaribu kumwambia jina la hapo mahali lazima liwe lake, huyu dada amesema ndiyo hata huyo bwana hana tatizo ila ndugu wasiambiwe kama pale ni pake wajue ni kwa bwana.
Mwenye ushauri zaidi tafadhari tumsaidie huyu dada.
Lakini mbona hatujiulizi swali la msingi hapa. Huyo jamaa kwa macho ya wengi (humu ndani ya JF) anaonekana kuwa ni CRAP. Sasa huyo dada kampendea nini? Baada ya hapo tunaweza kutoa ushauri ambao ni rational!
Labda anamburudisha dada vya kutosha u neva know
Labda anamburudisha dada vya kutosha u neva know
Kwa hili wadada mnatakiwa muwe makini nalo, sio wakongo tu hata wabongo me nimewasikia kwa masikio yangu matatu wanasema wao wanachohakikisha wanakupa burudani ya kutosha mpaka mshahara wako na vyanzo vyako vyote vya mapato unampa yeye avipangie matumizi akishajijenga anasepa. So ladies be carefuloooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Vijana wanashughulika bana!, Wnapanda milima!HA HA HA HA HA HA maty umenifurahisha sana hiyo tunaita unajitoa muhanga panda mbegu leo uvune mara mbili yake kama DECI vile
HA HA HA HA HA HA maty umenifurahisha sana hiyo tunaita unajitoa muhanga panda mbegu leo uvune mara mbili yake kama DECI vile
Vijana wanashughulika bana!, Wnapanda milima!
LOVE IS BLIND:nono::nono::nono: no Labda wanataka kuanzisha bendi na anachezeshwa kisanola na jamaa
Kwa hili wadada mnatakiwa muwe makini nalo, sio wakongo tu hata wabongo me nimewasikia kwa masikio yangu matatu wanasema wao wanachohakikisha wanakupa burudani ya kutosha mpaka mshahara wako na vyanzo vyako vyote vya mapato unampa yeye avipangie matumizi akishajijenga anasepa. So ladies be carefuloooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo