bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
na umwambie ajitayarishe kuombwa kupeleka NJEMBA kwa woolworth ma maboutiqu mengne makubwa makubwa!
IVI JAMAN INAKUWAJE UNAISH NA MWANAUME AMBAYE MNASHARE PODA???..ahhhhhhh ndo manake yeye pia asi anapaka poda,wanja,cream ......dah kaz kweli kweli..kwa iyo dada ukienda cosmetics shop inabd ununue cream mbili,poda mbl,wanja stik mbil?????lip stik mbili........ahh jaman nyinyi mkienda kuoga mnaiwai dressng tebo manake nayeye asi anataka ajikwatue???au mnaweka kizam zam?anza wew????
ahhhhh ok unawai kuamka asi unaenda kazin yeye unamwacha amelala so akiamka na yeye kawa kwa raha zake......mapooooooouda kwa sana tu????mweeee mweee jaman tubak na kaka zetu waki tz mbona wazuri tu?wadada wa nje wanawafagilia wakaka wa tz that wachakaramu ,wana utu,wana onga(haaaaaaaa haaaaa) sasa wewe tena unaenda kumpik diwan wa lubumbash ili iweje?SI KM MBAGUZ APANA WENGNE WANA TABIA MBAYA WAKIJA NCHI NYINGNE WANAHARIBU MADADA LAKIN WAO WANA FAMILIA ZAO UKO KWAO!!!!!
love is blind ennh????ntakuazima jicho moja upate kutazama vyema!!!
ukishangaa zaidi unaweza kuta hata pedi mkashea!we kila siku unashangaa mbona stock inapungua kwa kasi hivi!!!!