Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
ivi wakongo nao ni maforeigner ennh??mh basi kazi kubwa ata msomali piaTatizo la kupenda foreigners litawaponza akina dada!!!!!!!!!! mnaona sasa. Eti aonekane matawi ya juu. Huyu dada alipoingia ni pabaya mno. Akina dada hawa ndo wale wanaosema sina mpango na wabongo kama walioko hapa arusha ambao kazi yao ni kuwekwa kinyumba na wazee wa kizungu na wakirudi Ulaya siku hizi hawaachi hata kijiko. Wewe ulimwachaje MKONGO mpaka akaingia ndani ungeomba ushauri kwa Mashosti zako kwanza. Ukifikiri una suprise watu kumbe umejisuprise mwenyewe
kwa ile definition ya uforeigner ....na jins inavyotumika wen u say i gt a foreigner bas mkongo,msomali,na wengne ao wenye matatizo .com si maforeigner.....
ah kweli kakangu skuiz vbabu vya kizungu navyo kawa anachapa anasepa akitoa dola 50 yake bas tafuta bagamoyo ilpo nenda kazindke!!!
mmh hatari.......M SATISFIED WTH MA BLAK TZs ....labda km imetokea nimeenda uko then situation ikajiswtch on bt not apa apa kinondon afu unaopt mzungu mmhh apana kwanza anakuona umempendea kimatatizo tu so thaman yako inashuka .....
wengne wana ugonjwa yan anaenda kushinda slp way uko ,q bar anaudhuria misa za kingereza sjui malaika sjui wap uko just amiti na wazungu ahh jaman.....UTUMWA NA UJINGA ZAID YA UJINGA WENYEWE!!!!!!