samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,594
- 4,798
duuuh hii ni hatari kwa taifa, am telling u kama hata chombo kikuu kabisa cha maamuzi ndani ya chama kinaendeshwa kipuuzi namna hii basi nchi hii sio yetu tena!! we are in trouble i mean this is absurd.. ina maana hicho chama mpaka leo hawajajua nini shida? lol acha nicheke mimi, hivi huyo consultant amefika hata darasa la kwanza? eti JF.. JF my foot! wanataka wajigawie tunu ya taifa kipuuzi sisi tuwaangaklie tu?
Sijutii kutumbukiza chooni kadi ya ccm!
Sijutii kutumbukiza chooni kadi ya ccm!