Mshauri rais Jakaya Kikwete hatua za kuchukua baada ya mgomo kusitishwa

Father of All

JF-Expert Member
Feb 26, 2012
6,376
6,720
Baada ya rais Jakaya Kiwete kufanikiwa kusitisha mgomo wamadaktari, kwanza nini matarajio yetu kama walengwa?
Je atatumia nafasi hii ku-buy time ili kuwasambaratishamadaktari bila kuwafukuza wateule wake?
Je atakuwa makini na kutekeleza makubaliano ingawa serikaliyake naye binafsi mara nyingi si watu wa kuheshimu ahadi zao?
Je ameamua kuingilia ili kuwadhoofisha madaktari hasakuamini kuwa kadri siku zitakavyokwenda watadhoofika kimshikamano?
Je kwanini alingoja hadi watu wasio na hatia wapotezamaisha?
Je ni kwanini serikali yake iliwashitaki madaktari ilhaliikijua kugoma si kosa kisheria?
Je huu ni mwanzo wa mwisho wa mgomo wa madaktari au mwanzowa mgogoro mzito zaidi?
Je unamshauri nini Kikwete hasa wakati huu ambapo ameonyeshakuwa wateule wachache ni bora kuliko maisha ya watanzania?
Nini afanye hili hali iliyotokea isijirudie?
 
Tatizo lako umeweka maswali mengi kinyume cha title. Nikianza kujibu baadhi ya maswali, hautakuwa ushauri kwa Kikwete bali ni jibu kwa swali lako. Maswali mengine alipasa ajibu Kikwete mwenyewe, kunitaka niingia kichwani mwake halafu nimjibie, naona ngumu. Otherwise, swali lilipasa kuwa moja au mawili ambayo yangetuelekeza kujibu hoja.

Nitarudi.
 
Awawajibishe kwanza wote walioshindwa kuutatua mgogoro huo, maana ni jambo la kipuuzi kwa rais mwenye mawaziri kuingia ulingoni kufanya kazi za mawaziri wake, hii inamaanisha hao mawaziri hawahitajiki! Awaondoe tu, wote. Hivi kweli katika wizara Katibu Mkuu hatoshi? Waziri kazi yake nini kama si kupiga porojo tu? Awafute kazi.
 
Tatizo lako umeweka maswali mengi kinyume cha title. Nikianza kujibu baadhi ya maswali, hautakuwa ushauri kwa Kikwete bali ni jibu kwa swali lako. Maswali mengine alipasa ajibu Kikwete mwenyewe, kunitaka niingia kichwani mwake halafu nimjibie, naona ngumu. Otherwise, swali lilipasa kuwa moja au mawili ambayo yangetuelekeza kujibu hoja.

Nitarudi.
 
mimi naona kuendelea kuwabeba hawa mawaziri ni mwanzo wa kushuhudia mgomo baridi wa madaktari na matokeo yake ni mabaya kama tunavyoona katika sekta ya elimu.
 
Back
Top Bottom