KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
katika kile kinacholalamikiwa na Waislam kuhusiana na Sensa bila kumungunya maneno TBC1 hamuwezi kukwepa hili hata Rais katika hotuba yake ameonekana kukerwa na kitendo cha taasisi ya umma kuendekeza udini.Pamoja na kuomba radhi lakini impact ya hicho kilichofanyika ni kubwa sana japo watu wanajaribu kufunika.
Mytake:
1. Ingekuwa wenyekujua nini maana ya dhamana Mshana ungekuwa umeshajiuzulu siyo kusubiri kuwajibishwa.
2. Ingekuwa ni vituo vya binafsi ndivyo vingekuwa vimerusha hicho kipindi kingekuwa kimeshafungiwa kama Mwanahalisi.
3. Waziri husika na Mwenyekiti wa bodi mzee Nyachia hili ujaliona?umechukua hatua gani?
Mytake:
1. Ingekuwa wenyekujua nini maana ya dhamana Mshana ungekuwa umeshajiuzulu siyo kusubiri kuwajibishwa.
2. Ingekuwa ni vituo vya binafsi ndivyo vingekuwa vimerusha hicho kipindi kingekuwa kimeshafungiwa kama Mwanahalisi.
3. Waziri husika na Mwenyekiti wa bodi mzee Nyachia hili ujaliona?umechukua hatua gani?