Mshambuliaji kujidondosha ndani ya penati box ni kadi nyekundu ya mojakwamoja?

ligendayika

JF-Expert Member
Aug 31, 2012
1,183
198
nILIANGALIA MECHI YA JANA YA WATANI WA JADI SIMBA NA YANGA ILE KADI YA MCHEZAJI WA YANGA NI SAHIHI
 
Ni red card kama huyo mchezaji aliyeangushwa amekua denied a goal scoring opportunity...ila kama wakati anaangushwa alikua yuko kwenye position or mpira ulikua kwenye angle ambayo asingeweza kufunga then sio RED card
 
Nakumbuka kumuona Akrama akimpatia yellow kwanza iliyofuatiwa na red,hiyo inamaanisha pengine Msuva alikuwa na yellow kabla ya kupigwa ile yellow ya 2 iliyosababisha ifuatiwe na nyekundu,mimi sina tatizo sana na adhabu ile tatizo langu ni ile rafu ya Boban ile ilikuwa ya red ya 1 kwa 1 na kibaya zaidi yule Mwamuzi alikuwa eneo lilelile tu lkn bado akili yake ilishindwa kuona adhabu stahili ya kosa lile,kwakweli kwa kitendo kile yule Mwamuzi amenisikitisha sana
 
Nakumbuka kumuona Akrama akimpatia yellow kwanza iliyofuatiwa na red,hiyo inamaanisha pengine Msuva alikuwa na yellow kabla ya kupigwa ile yellow ya 2 iliyosababisha ifuatiwe na nyekundu,mimi sina tatizo sana na adhabu ile tatizo langu ni ile rafu ya Boban ile ilikuwa ya red ya 1 kwa 1 na kibaya zaidi yule Mwamuzi alikuwa eneo lilelile tu lkn bado akili yake ilishindwa kuona adhabu stahili ya kosa lile,kwakweli kwa kitendo kile yule Mwamuzi amenisikitisha sana
Duuh lakini alikitwa kimaukweli mpaka nikaogopa lakini nilipo kumbuka uhuni alitufanyia nakasema niafadhali hata avunjike kabisa bado Twite...Maana na yanga mlimkita Edo nikajua mmekavunja.
 
Kujidondosha ndan ya penalt box ni red card kama mazingira ni udanganyifu tu maana ulikuwa unamuhadaa mwamuzi akupe penati na ampe redcard defender aliyekuwa anakuzuia usipite... Maana sheria inasema anayemchezea rafu mshambuliaji ili kuzuia goal scoring opportunity ni red card.. Sasa kama wewe unadanganya kusababisha mwenzako apewe red card na penalty juu lazima upate adhabu ya red card as kama fundisho
 
Nakumbuka kumuona Akrama akimpatia yellow kwanza iliyofuatiwa na red,hiyo inamaanisha pengine Msuva alikuwa na yellow kabla ya kupigwa ile yellow ya 2 iliyosababisha ifuatiwe na nyekundu,mimi sina tatizo sana na adhabu ile tatizo langu ni ile rafu ya Boban ile ilikuwa ya red ya 1 kwa 1 na kibaya zaidi yule Mwamuzi alikuwa eneo lilelile tu lkn bado akili yake ilishindwa kuona adhabu stahili ya kosa lile,kwakweli kwa kitendo kile yule Mwamuzi amenisikitisha sana
Yule dogo alipewa njano baada ya kujiangusha kwenye eneo la penati na yule dogo bila hata staha kwa refa akampiga teke Nyoso pale pale mbele ya refa na refa alikuwa anaona, hivyo refa hakuwa na uamuzi mwingine zaidi ya kumpa straight red kwa kosa la kumpiga Nyoso.
 
Nakumbuka kumuona Akrama akimpatia yellow kwanza iliyofuatiwa na red,hiyo inamaanisha pengine Msuva alikuwa na yellow kabla ya kupigwa ile yellow ya 2 iliyosababisha ifuatiwe na nyekundu,mimi sina tatizo sana na adhabu ile tatizo langu ni ile rafu ya Boban ile ilikuwa ya red ya 1 kwa 1 na kibaya zaidi yule Mwamuzi alikuwa eneo lilelile tu lkn bado akili yake ilishindwa kuona adhabu stahili ya kosa lile,kwakweli kwa kitendo kile yule Mwamuzi amenisikitisha sana

Ni kweli Boban alitakiwa apate red card, ila Yanga red card ingeenda kwa Yondani mwenyewe, Chuji, Mbuyi Twite na Kanavaro. Walikuwa wanacheza karate sio rafu.
 
Kujidondosha ndan ya penalt box ni red card kama mazingira ni udanganyifu tu maana ulikuwa unamuhadaa mwamuzi akupe penati na ampe redcard defender aliyekuwa anakuzuia usipite... Maana sheria inasema anayemchezea rafu mshambuliaji ili kuzuia goal scoring opportunity ni red card.. Sasa kama wewe unadanganya kusababisha mwenzako apewe red card na penalty juu lazima upate adhabu ya red card as kama fundisho

Hiyo umeiongezea wewe maana kwenye sheria za kawaida haimo!
 
Yule dogo alipewa njano baada ya kujiangusha kwenye eneo la penati na yule dogo bila hata staha kwa refa akampiga teke Nyoso pale pale mbele ya refa na refa alikuwa anaona, hivyo refa hakuwa na uamuzi mwingine zaidi ya kumpa straight red kwa kosa la kumpiga Nyoso.
Kwa kosa hilo la Msuva kumpiga mchezaji mwenzake uwanjani:- anastahili kulipa faini sh.500,000 za kitanzania na kukosa mechi tatu mfululizo.
 
Nakumbuka Geoghe Haggi wa Romania alipewa kadi nyekundu kwa kujiangusha wakati wa mechi ya kombe la dunia kati ya Italia na Romania kwenye uwanja wa Kumamoto huko Japan
 
Kwa kosa hilo la Msuva kumpiga mchezaji mwenzake uwanjani:- anastahili kulipa faini sh.500,000 za kitanzania na kukosa mechi tatu mfululizo.
Na kosa la yule mchapa viroba Boban je? Adhabu yake iwe kustaafishwa kabisa kwenye soka
 
Back
Top Bottom