BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Oh Mine..Masa pole sana kwa huyo rafiki yako. Lazima alichanganyikiwa!
sio masanilo alietapeliwa..shem hawezi kutapeliwa na shori mwenye over 45 yrs sidhani kama atakuwa anavutia.........mashori wamekuwa wezi....ile bidhaa yao kitumbua siku hizi havinunuliwi..
Duh si mchezo alafu mnasema uchawi hakuna.
Mkuu, huwezi jua huenda Masanilo nae ni mtaalamu wa mambo ya anga labda alizidiwa tu na yule mmama! Haya mambo ni kama umeme yanaingia mahali penye uhusiano nayo!.....Duh, ila pole ndugu yangu Masa, nitafute nikupe japo msimbazi mmoja akusogeze siku moja na nusu, I am serious!
Mkuu Masanilo is a saint, yaani atatangazwa mtakatifu pindi atakapoenda mbinguni! Mazee nitakuona kwenye PM uokoe walau siku moja na nusu!
Oh Mine..Masa pole sana kwa huyo rafiki yako. Lazima alichanganyikiwa!
We sio kaka huyo... wakaka wahabebi handbag. ebu msome vema, mshahara aliuweka kwenye handbagLakini kaka mbona ulilewa mapema hivyo...
Pole sana ndugu yetu Masa mkasa wako niliupata kupitia chanzo kingine cha mawasiliano kwa jina lingine kumbe ni wewe.Kama walivyo sema wengine huyo hakuwa mtu wa kawida anatumia nguvu za mungu wa dunia hii.
Kwani wewe ulikuwa wapi? nilidhani unamlinda, kumbe unamuacha mitaani peke yake LOL! besides pole sana Masanilo, ushauri mzuri umetolewa na jamaa kuwa vema uwe unachukua taxi ni 15,000 tu na unokoa laki 4 zako.
pole sana ila nakushauri next time utembee na kitabu cha dini i.e biblia kama mkristo au Quran kama ni mwiislamu .. kuna versions hizi ndogo hata kwenye mfuko wa surual inakaa kwa ajili ya kinga kwani ulikutana na mfuasi wa shetani
mnasema kutembea na kitabu cha dini?wapo matapeli watakuambia wanakuombea feza iongezeke na hata aibu hawana wanabeba vitabu vya dini.shetani ana njia kibao tuwe imara jamaa na maombi.
pole sana ila nakushauri next time utembee na kitabu cha dini i.e biblia kama mkristo au Quran kama ni mwiislamu .. kuna versions hizi ndogo hata kwenye mfuko wa surual inakaa kwa ajili ya kinga kwani ulikutana na mfuasi wa shetani
Na ile revolver yetu ilienda wapi .. ungewatwanga wote