Mhandisi wa Umeme
Member
- Jan 6, 2012
- 31
- 4
Habari, naomba mniambie PGSS 14 ni shilingi ngapi?
Habari, naomba mniambie PGSS 14 ni shilingi ngapi?
Habari, naomba mniambie PGSS 14 ni shilingi ngapi?
Habari, naomba mniambie PGSS 14 ni shilingi ngapi?
Sio bur, kuna kitu hapo, utakuwa wewe ni mtoto wa Fisadi umepata kazi TRA au BOT kama sio TANAPA.[/QU jibu sawa na ulivyoulizwa tafadhali kama hujui kaa kimya
Tofauti ni kwamba PGSS ni mfumo wa mishahara ya mashirika ya umma au wafanyakazi wasio wanataaluma katika vyuo vikuu (chini ya TCU) na taasisi za elimu ya juu za umma (chini ya NACTE). Na PUTS ni mfumo wa mishahara kwa wanataaluma wa vyuo vikuu vilivyo chini ya TCU na taasisi za elimu ya juu za umma chini ya NACTE zinatumia mfumo wa PHTS ila mafungu ya PHTS yako juu kuliko ya PUTS.Mimi naomba kujuwa tofauti ya PGSS na PUTS?
SINA HAKIKA NA VIWANGO VYA SASA KUTOKANA NA NYONGEZA ZILIZOFANYWA. LAKINI NGAZI HIYO NI YA JUU KATIKA MAAFISA WA SERIKALI SENIOR/KARIBIA PRINCIPAL OFFICER. Mwenye figure akupatie
Tofauti ni kwamba PGSS ni mfumo wa mishahara ya mashirika ya umma au wafanyakazi wasio wanataaluma katika vyuo vikuu (chini ya TCU) na taasisi za elimu ya juu za umma (chini ya NACTE). Na PUTS ni mfumo wa mishahara kwa wanataaluma wa vyuo vikuu vilivyo chini ya TCU na taasisi za elimu ya juu za umma chini ya NACTE zinatumia mfumo wa PHTS ila mafungu ya PHTS yako juu kuliko ya PUTS.
Asante natumaini umenipata
Tofauti ni kwamba PGSS ni mfumo wa mishahara ya mashirika ya umma au wafanyakazi wasio wanataaluma katika vyuo vikuu (chini ya TCU) na taasisi za elimu ya juu za umma (chini ya NACTE). Na PUTS ni mfumo wa mishahara kwa wanataaluma wa vyuo vikuu vilivyo chini ya TCU na taasisi za elimu ya juu za umma chini ya NACTE zinatumia mfumo wa PHTS ila mafungu ya PHTS yako juu kuliko ya PUTS.
Asante natumaini umenipata
Ahsante sana, nimekuelewa vizuri... lakini mbona hata wasio wanataaluma (non-academic staff) katika vyuo vikuu, mfano UDSM kwa Lab scientists wanalipwa kwa mfumo wa PUTS?
Lab Scientists wanalipwa scale inayoitwa PUSS, sio PUTS. Hata hiyo PUSS haiji automatically, lazima uombe re-categorization from PGSS to PUSS iwapo umefikia level fulani ya utumishi, na usipoomba utabaki na PGSS ambayo ndiyo ipo by defaulty. PUSS ipo juu kidogo kuliko PGSS, lakini ukipewa hiyo unaondolewa sifa za mafao fulani kama vile overtime (kama itakuwepo), kwani utakuwa umeingia scale ya seniors. Kuna watu hawapendi kwa makusudi kuiomba PUSS kwa mtego wa overtime, hata kama wamefikia level ya kuwa na sifa za PUSS! Hiyo PUTS kama ilivyoelezwa hapo juu, ni ya academic staffAhsante sana, nimekuelewa vizuri... lakini mbona hata wasio wanataaluma (non-academic staff) katika vyuo vikuu, mfano UDSM kwa Lab scientists wanalipwa kwa mfumo wa PUTS?
Lab Scientists wanalipwa scale inayoitwa PUSS, sio PUTS. Hata hiyo PUSS haiji automatically, lazima uombe re-categorization from PGSS to PUSS iwapo umefikia level fulani ya utumishi, na usipoomba utabaki na PGSS ambayo ndiyo ipo by defaulty. PUSS ipo juu kidogo kuliko PGSS, lakini ukipewa hiyo unaondolewa sifa za mafao fulani kama vile overtime (kama itakuwepo), kwani utakuwa umeingia scale ya seniors. Kuna watu hawapendi kwa makusudi kuiomba PUSS kwa mtego wa overtime, hata kama wamefikia level ya kuwa na sifa za PUSS! Hiyo PUTS kama ilivyoelezwa hapo juu, ni ya academic staff
Mkuu hapo kwenye nyekundu labda kama wameanza hivi karibuni. Lakini nakumbuka rafiki yangu wa karibu mwenye master degree aliyeajiriwa kama Lab Scientist hapo UDSM alikuwa analipwa kwa PGSS. Ili kuondoa pengo kubwa lililokuwepo kati yao na teaching staff ilibidi Lab. Scientist waongezewe kitu kinaitwa risk allowance kwenye mishahara yao na kuwafanya kuwa na take home sawa na teaching staff waliosawa nao kielimu.