Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Dah Mshahara wa Raisi - PGS 100000?
<br />nadhani hili ni swali la kuliuliza publicly...
Kajiajirije mwenyewe wakati wananchi kimsingi ndiyo waajiri wake kwa sababu wanamchagua (ukiachilia mbali irregularities za chaguzi zetu)?
Yaani mambo mengine yanayoendelea Tanzania kweli ni only in Tanzania!!
Halafu watu wengi wala hawako concerned kabisa na jinsi hela zao zinavyotumika kumlipa mshahara raisi wetu!! SMH!!!
Au mshahara wake unalipwa kutoka kwenye fungu la wafadhili na wahisani?
Inabidi mbunge mmojawapo aulize hili Swali katika moja ya vikao vijavyo. Nani mnafikiri aulize hili Swali. BTM, mishahara ya mawaziri tunaijua?
<br />Hata pm ana nunuliwa mkuu,this is serious. Madai yao eti hawa watu hawatakiwi kufikiri sana kuhusu wavae nini au wale nini,wawe wanafikiri jinsi ya kutuongoza wadanganyikaKaka hapo kwa PM una uhakika kweli? Manake isije ikawa tu bado haijabumbuluka na yeye....