Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
Mwaka 2010/11 mshahara wa mtumishi wa umma uliogezeka kwa 29% na kuna tetesi kuwa hata mwaka huu umeongezeka je wadau kama mmebahatika kuchungulia kunako husika umeongeza kwa kiasi gani? tuandae matumizi