Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 639
Wakuu najiandaa kufanya negotiation na barrick kwenye mojawapo ya migodi yao, naomba anayefahamu kuhusu masilahi yao kama vile mshahara, na allowances nyingine kwa mwezi kwa level ya managers. Nafahamu ni negotiable, nipe range ambayo naweza kukomaa nao ukizingatia mazingira ya kazi za pale. Kama take home plus allowances haizidi shilingi m3 niambie niache hata kwenda kwenye negotiation.
pamoja sana
pamoja sana