Mlumendo obeid
Member
- Sep 22, 2011
- 33
- 2
Jamani naomba kufahamishwa juu ya mshahara wa mbunge baada ya makato ni sh.ngapi?
7m kwa mwezi? zinakatwa kodi hizi pesa?Pamoja na posho dr slaa alisema kipindi alipokuwa mbunge walikuwa wanapata si chini ya milioni 7
7m kwa mwezi? zinakatwa kodi hizi pesa?
Jamani naomba kufahamishwa juu ya mshahara wa mbunge baada ya makato ni sh.ngapi?