Mchekechoni
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 279
- 19
Kwa jinsi mnavyozidi kugubikwa na dhambi ya uongo mkuu ambao unalenga kuliangamiza taifa letu, basi mkae mkijua ya kuwa hamchezi mbali na malipo ya dhambi hiyo, na mauti yakiwafika ghafla umma wa Tanzania hautalaumiwa. Mshahara wa dhambi ni MAUTI; JK, PINDA, RA, NGELEJA, mko tayari kupokea mshahara wa dhambi mnayotutendea watz?